Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Ni nani aliyetakiwa kuanza?Ahh ni mimi lakini walikuwa wanarekebisha mitambo maana mziki wa live ni tofauti kidogo.Huyu jamaa ianaonesha wazi kuwa alikula muda au mitambo ilisumbua.N huyo salamu huenda alikuwa ana mingo za kuongea na wasanii.
 
Haaaaah hii nchi ngumu sana yaani munaendekeza ushirikina kwenye mambo professional kama haya...

Alikiba ulitakiwa kujiandaa kwa vyovyote vile ulitakiwa kuwa na interijensia ya kila kitu unachokifanya ...

Kumbuka hii ni dunia ya ushindani na upo kwenye mashindano pole yako kama ujui....
Huo sio ushindani bali ni roho mbaya.
Yeye salam anaenda kwenye ile show kama ya nani?
 
Tatizo ni ssalaam alifata nini backstage.... alienda kama nani.. na kufata nini. Na ili iweje.. aliiitwa? Alikiba keep cool ur talented than one they compare to...
Aghhh that was international show Bwana...so different managers and music stakeholders was there.. salam k ni moja wao and he is managing an international musian too na kumbuka hakuenda kwa mwaliko wa kiba or nani na hayupo anaejua pengine,aliitwa na wadau wenzake. Af kingine kama mic ilizimwa kwa bahati mbaya kwann baada ya recovery hakurudi yeye akapanda breezy? We have to change bwana ... when u fail just admit it and take it as a challenge. And thats what make a person a "WINNER"
 
Kuna mambo mengine kama haya ndio huwa tunasema uswahili. Alikiba anashangaa meneja wa Diamond kukaa backstage, na eti anahoji kwa nini asingekaa VIP kama ishu ni kuona shoo. Hivyo kwa mtazamo wake yeye Alikiba anahisi meneja wa Diamond ndiye aliyezima Mic. Katika hali ya kawaida tu hivi inawezekana meneja wa Diamond akazima Mic kwenye hughuli isiyo yake? Anyway tuachane na uswahili wa Alikiba na pengine ndio maana anashindwa kufanya mambo makubwa katika muziki pamoja na ukongwe alionao katika muziki.

Kazi ya kuwa meneja wa mwanamziki ni kubwa sana kama unamua kujishughulisha na kuhakikisha mwanamziki wako unayemsimamia anafika mbali. Sote tunaelewa ni jinsi gani WCB walivyo wanzuri wa kutumia kila aina ya upenyo wanaopata katika kuhakikisha kazi zao zinafika mbali. Chris Brown kaja Kenya pamoja na uongozi wake, hivi mlitegemea Sallam akae tu ametulia, au akae VIP ametulia anangalia shoo badala ya kutengeneza contacts na uongozi wa Chris Brown? Hivi Alikiba anajua kweli namna connections na wasanii wa nje zinavyopatikana? Anajiuliza why Sallam akae backstage, heee sasa alifikiri Sallam ataongea na uongozi wa Chris Brown wapi? Mwenzake anahangaika kufanya connections na wasanii wakubwa yeye anakaa kufikiria kwamba mtu anaweza kusafiri kutoka Dar hadi Mombasa kwa ajili ya kwenda kuchomoa Mic. Huu ufinyu wa mawazo ndio unamfanya kila siku aishie kulalamika na kuhisi anahujumiwa. Leo tunapopewa ratiba ya tour ya Diamond na Neyo UK si kazi ambayo imefanyika kitoto, bali watu wametumia fursa na nafasi zinazojitokeza kuweza kutengeneza connections kama hizo. Au tumeshasahau ni namna gani Neyo na Diamond walikutana? Au hatujajua ni namna gani Diamond na Swiss Beats wamekutana?

Kifupi Alikiba ana safari ndefu ya kujifunza kuhusu namna ya kutafuta soko la muziki. Akiendelea kuwa na fikra mgando kama hizo ataishia kulalamika tu na mwishowe atashindwa kufanya vinzuri kwa sababu ya kutaka kushindana na Diamond. Mwenzake Diamond sasa hivi anafocus kwenye soko ya Ulaya maana Afrika ameshamaliza, America ameshaingia, ila yeye Alikiba anawaza kwamba mtu atapoteza hela zake kwenda Mombasa kuchomoa Mic. Daaah kweli tunatofautiana .
Thankyu
 
Kuna kitu kinaitwaa connection, breezy msanii mkubwa sana pengine manager wa diamond alitaka au alikua na mazungumzo na msanii huyo, ni mtazamo tuu na sii kingine, kwanza manager wa kiba alkua wapi? Ina maana kiba hana team backstage iwapo ana perform kuangalia mambo yanaenda sawa kama walivyopanga? Au kiba alkua solo kwenye tamasha kubwa kama hili? ....... Ni mtazamo pia
Ok...jiulize tena mazungumzo na msanii backstage ina maana chris hana management ya kuifuata ukafanya hayo mazungumzo??endelea kujiuliza
 
Katika siku ambazo nimemdharau na Kumchukia Alikiba ni leo...yaani yeye ameshajua hili bifu yeye ndiyo linampandisha...WCB wamemuacha Alikiba mbali sana..

Hivi anaelewa maana ya backstage?!Ali hajui ni nani anapaswa kukaa backsatage,video zote zinaonyesha ni wakti gani sallam alikuwa backstage,ni kuanzia festival imeanza mpaka imeisha sallam alikuwa nyuma ya Stage...Ndege ya Chrisbrown ilikuwa inamsubiri Breezy amalize show aondoke haraka!!!sallam angepata muda saa ngapi wa kuongea na management ya CB?!JIBU ni kwamba ilitakiwa amfate backstage!!

Hofu ya Ali iko wapi ikiwa kama meneja wake amekiri kwamba maiki ilizimwa na Waandaaji wenyewe ili kumpisha WizKid na CB wapafomu haraka ili Breezy awahi kuondoka na ndege yake...sasa kwanini Ali amlaumu sallam?!Halafu wakati Chrisbrown amepanda jukwaani umeme ulizimika ikabidi liwashwe generator...ina maana Sallam pia ndiye alizima umeme wakati CB anapaform?!

Nachukia sana watu wanaotaka wenzao wachukiwe ili wao WAPENDWE!!mara nyingi tumeshuhudia Ali akimwekea Chuki Diamond ili aendelee kusemwa na kusikika kwenye Media...na hii inamfanya Diamond aendelee kuwa Juu zaidi...Kumbe bila Diamond hakuna Alikiba

Hii inanifanya niamini kwamba kumbe WCB ni Brand kubwa Zaidi kuliko SONY MUSIC...
Kama msanii anayesimamiwa na Kampuni kubwa duniani ya SONY anamuogopa Meneja Uchwala tena Mtanzania Sallam sk basi ni dhahiri shahiri kwamba hiyo label haina manufaa kwake!!

Halafu show haikuwa ya Alikiba,mwenye show hasa ni Chrissbrown na WizKid...Alikiba alikuwa msindikizaji tu kama wasindikizaji wengine kina VANESSA.

Yeye alivamia show ya Diamond Mombasa na akapaform kabisaaa..lakini sikuwahi kusikia Diamond analalamika popote kwa sababu mwisho wa siku ile ni biashara na wote ni watanzania...kama Sallam ana roho mbaya kiasi hicho basi angemzimia Mic Alikiba siku ile wanapafomu jukwaa moja..

Afanye kazi...aache kulalama kama mwanamke Aliyebakwa!!Badala ya kuimba nyimbo za maana yeye ameenda kuimba MacMuga na Cinderellakwanini watu wasimshushe?!
Daah nmekupenda bure ndugu yangu... yaan umeongea fact
Kiba ache kujichanganya bwana
Meneja wako kasema mengine na yeye kasema mengine heee naanza kuwa na wasiwasi na management yake piaa
 
Amshutumu na kumlaum kuwa kosa la kwann awepo huko back stage,kama lilimuudhi ...japo kwa utashi wangu huwez kuanza kuoperate vitu vicvyokuhusu,na alitakiwa kuwafata maoperator wamueleze sabab za kifundi,mic haiwez kurogwa lazima iwe ni sababu unayohusiana na operationg imma kwa kuzimwa au kukata kwa umeme. sio kuishi kwa hisia
Hilo halijitoshelezi kumlaumu Meneja wa Diamond. Alitakiwa afuatilie ili kufahamu sababu halisi ya hilo tukio.
 
Mbona anavisababu vya kitoto huyu inamaana wale walioandaa show ni wajinga mpka wamruhusu mtu asiejulikana amzimie mic msanii walie mlipa 150 mil kweli?
Hio sio sababu ya kitoto kama unavyofikiria, juzi kati hapa hata Donald Trump alitoa sababu kama hio hio kwenye debate yake ya kwanza na Hillary Clinton.
 
Yaan mshikaji kamalizaaaaaa sana ... hakuna sehemu unaweza pata muda wa kuongea na msanii mkubwa breezy if not backstage labda kama kaja kutembelea mbuga za wanyama na kupanda mlima kilimanjaro
 
Aiseee umeongea point sana!!! Hyo backstage alikuwepo manager wa diamond peke ake,show maarufu km hyo na Alikiba kalipwa ingekuwa vp mtu hata hausiki katika maandaliz afanye fitina ya namna hyo?,Mm nafikir huyu jamaa anatafuta sababu vile ame underperform kuliko alivyo na tulivyotarajia...and sio vzr kutoa shutuma za hv akat yy mwenyewe hana uhakika na analolizungumza,anatoa tamko kulingana na macho yake yalivoona ila hajui exactly sallama alikuwa anafanya nn kule nd in fact hakuona watu wengine huko???
We ka underperform? Ivi uliangalia short clip bideo ukaona watu walivyokuwa high na kiba? Nahisi hata huyo wizkid alijiuliza huyu kiba anaupepo gani?
Big up king kwa heshima uliyoweka japo wavimba macho hawakosi
 
Ally Kiba kwa kulalama lalama nadhani ndio kwanza unazidi kupoteza...hivi ni kwa vipi Mtu mwenye akili anaweza kukubali kuwa ni kweli Sallam alipewa access na Waandaaji ya kuzima Mic?

Unashindwa hata na yule Jamaa wa Arusha (somebody Macho...) pamoja na kula 'madude' lakini bado alikuwa makini kuongelea wenzake negatively.

Utapoteza Mashabiki wengi sana kama utaendekeza tabia ya kusukumia wengine matatizo yako....Binaadam wana tabia ya kuchoka mtu mlalamishi....hata kama ni kweli hivyo ndivyo ulivyodhani imetokea, isingekugharimu kitu kuvuta subira na kufanya uchunguzi wako kimya kimya na kupata ukweli wa ni nini Sallam alifuata nyuma ya Stage.

Usije ukadhani hizi 'teams' zina msaada mkubwa sana kwa kazi zenu...ukifanya utafiti utakuta kuna Watu wachache sana ambao ni kweli watamchukia Diamond na kukushabikia wewe, au vise versa....asilimia kubwa ya Washabiki wenu ni hao hao na wapo kote kote...wataingia show ya Kiba leo na kesho akija Chibu wanaingia pia.

Hivyo hebu epuka sana kushiriki moja kwa moja kutengeneza ukuta...ushabiki waachie Mashabiki wenu....you just stay SMART.
Aliyekwambia kiba anapotea nani??
Alikaaa miaka mitatu bila kuimba now karudi kazini kama kupotea alipotea alipokuwa,haimbi naw karudi kazini
 
Katika siku ambazo nimemdharau na Kumchukia Alikiba ni leo...yaani yeye ameshajua hili bifu yeye ndiyo linampandisha...WCB wamemuacha Alikiba mbali sana..

Hivi anaelewa maana ya backstage?!Ali hajui ni nani anapaswa kukaa backsatage,video zote zinaonyesha ni wakti gani sallam alikuwa backstage,ni kuanzia festival imeanza mpaka imeisha sallam alikuwa nyuma ya Stage...Ndege ya Chrisbrown ilikuwa inamsubiri Breezy amalize show aondoke haraka!!!sallam angepata muda saa ngapi wa kuongea na management ya CB?!JIBU ni kwamba ilitakiwa amfate backstage!!

Hofu ya Ali iko wapi ikiwa kama meneja wake amekiri kwamba maiki ilizimwa na Waandaaji wenyewe ili kumpisha WizKid na CB wapafomu haraka ili Breezy awahi kuondoka na ndege yake...sasa kwanini Ali amlaumu sallam?!Halafu wakati Chrisbrown amepanda jukwaani umeme ulizimika ikabidi liwashwe generator...ina maana Sallam pia ndiye alizima umeme wakati CB anapaform?!

Nachukia sana watu wanaotaka wenzao wachukiwe ili wao WAPENDWE!!mara nyingi tumeshuhudia Ali akimwekea Chuki Diamond ili aendelee kusemwa na kusikika kwenye Media...na hii inamfanya Diamond aendelee kuwa Juu zaidi...Kumbe bila Diamond hakuna Alikiba

Hii inanifanya niamini kwamba kumbe WCB ni Brand kubwa Zaidi kuliko SONY MUSIC...
Kama msanii anayesimamiwa na Kampuni kubwa duniani ya SONY anamuogopa Meneja Uchwala tena Mtanzania Sallam sk basi ni dhahiri shahiri kwamba hiyo label haina manufaa kwake!!

Halafu show haikuwa ya Alikiba,mwenye show hasa ni Chrissbrown na WizKid...Alikiba alikuwa msindikizaji tu kama wasindikizaji wengine kina VANESSA.

Yeye alivamia show ya Diamond Mombasa na akapaform kabisaaa..lakini sikuwahi kusikia Diamond analalamika popote kwa sababu mwisho wa siku ile ni biashara na wote ni watanzania...kama Sallam ana roho mbaya kiasi hicho basi angemzimia Mic Alikiba siku ile wanapafomu jukwaa moja..

Afanye kazi...aache kulalama kama mwanamke Aliyebakwa!!Badala ya kuimba nyimbo za maana yeye ameenda kuimba MacMuga na Cinderellakwanini watu wasimshushe?!
Mkuu hapo umeua kila kitu!
Kiukweli hata mimi nilikuwa nawakubali wote lakini nikaja kugundua kiba anamtengenezea diamond majungu,sasa hivi sitaki hata kusikia nyimbo za kiba na hata ikitokea naangalia video ya wimbo wake basi no katika mtazamo wa negativity yaani naangalia kwa kukosia tu,sasa ngoja nisikie wimbo wa diamond au video yake,huwa na pause kwa dakika kadhaa kuangalia video yake in positive attitude!
Na Diamond ataendelea kufanikiwa ktk mziki wake kama ameweza kuviruka vigingi vya zile team za wadada aka team wema sijui team kidoti plus team kiba na bado ananyoosha tu mafanikio yake,huyu muache aendelee kulalamika mwenzie kaenda kuunga biashara na CB yeye aliridhika kuperform jukwaa atakaloperform CB.
 
Mkuu hapo umeua kila kitu!
Kiukweli hata mimi nilikuwa nawakubali wote lakini nikaja kugundua kiba anamtengenezea diamond majungu,sasa hivi sitaki hata kusikia nyimbo za kiba na hata ikitokea naangalia video ya wimbo wake basi no katika mtazamo wa negativity yaani naangalia kwa kukosia tu,sasa ngoja nisikie wimbo wa diamond au video yake,huwa na pause kwa dakika kadhaa kuangalia video yake in positive attitude!
Na Diamond ataendelea kufanikiwa ktk mziki wake kama ameweza kuviruka vigingi vya zile team za wadada aka team wema sijui team kidoti plus team kiba na bado ananyoosha tu mafanikio yake,huyu muache aendelee kulalamika mwenzie kaenda kuunga biashara na CB yeye aliridhika kuperform jukwaa atakaloperform CB.
Acha utumwa wewe
 
Huyu jamaa ni Maandazi kweli. Kwani back stage ilikuwa ya kwake peke yake? Mbona ile show ya Mombasa aliyovamia hakuzimiwa mic? Kule Nigeria kwenye tuzo za Africa Magic alipopafom na penyewe alizimiwa Mic? Kila siku tunaambiwa tutumie fursa zinazijitokeza mbele yetu. Kweli meneja anaejielewa akakae VIP kuangalia show badala ya kutafuta michongo?
Kiba alikuwa macho kwa macho na Neyo kwenye coke studio matokeo yake akashindwa kutumia fursa. Alisha wahi kushiriki kwenye project ya Airtel na wasanii kibao wa Africa lakini hakutumia fursa. Kama Chriss brown kalipwa 1.9 Bil kwa kupafomu 90minutes tu halafu anasepa na private jet leo unafikiri ni rahisi kumpata akiwa Marekani? Ni rahisi kufanya Connections huku. Davido alikuja Fiesta Diamond fasta kachangamkia fursa.Diamond alipondwa sana alipojipendekeza kwenye Harusi ya PSquare watu walisema hakualikwa but kumbe alikuwa na malengo ya mbali Mwisho wa siku kafanya nao kazi.
Menejiment ya Kiba ijitafakari upya namna ya kukabiliana na Soko la mziki la sivyo itakuwa Mombasa Dar Mombasa Kariakoo.
 
Back
Top Bottom