Recent content by madakim

  1. M

    Wanawake wachaniwa nguo Mwanza

    Shoga ni wewe utazamaye bila kuvua. Rujali hutumiza haja za mwili wake kwa kuvua. Subiri utavuliwa.
  2. M

    Hassan Marin wa TBC hafai kwenye TV

    Mtoa mada kweli hajui aongealo. Kwani kuwa prof ndio uhojiwaje? Acha ujinga man, hivyo ndivyo mwandishi apaswavyo kuwa. Tizama TV za nje muone mahojiano yanavyokuwa. Marin ni moja ya watangazaji bora TZ.
  3. M

    Toyota Duet

    Hahahahahahàaaaaaaaaa kwikwikwiiiiiiii mwenye carina nae anajiona ana gari, mwenye vx atasemaje? ana kifaru au? acheni ufala. Mshikaji kauliza ili ashauriwe acha kumkashifu sababu una carina hujui mwenye vx anakuona boya tu barabarani? Mimi binafsi siwezi endesha carina man lol.
  4. M

    Juma Jux muziki unamlipa sana. Avuta Ndinga ya hataree

    Aliyetoka kijijini lakini pori bado lipo kichwani mwake@ kibol
  5. M

    Juma Jux muziki unamlipa sana. Avuta Ndinga ya hataree

    Hivi mbona wabongo mnamawazo hafifu hivi. Mbona mnawaza magari ya rahisi ya mjapan, mchina etc. Hivi hamuonagi machuma ya Mwingereza mjerumani etc. Mbona sijssikia mbongo kavuta hata toyota mpya sio mtumba wa mchina au mjapan? Acheni ushamba nyie.
  6. M

    Mabint wa kimarangu

    Acheni uzuzu, demu mpenda hela mega then tembea. Unakaa nae wa nini wakati mzazi wako analia njaa kijiji? Wewe ulipokuwa unasomeshwa na mzazi yeye alikuwa anafundishwa kuchuna nini? Wapo mademu kibao wasiomind mkwanja.
  7. M

    Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

    Clouds sasa BHAASS.
  8. M

    ITV, EATV, wamejitoa kwenye King'amuzi cha EasyTv.??

    Easy tv ni king'amuzi kisicho na management makini. Ukinunua king'amuzi hiki ni sawa na kupoteza hela zako bure.
Back
Top Bottom