Chuo kikuu Cha Ardhi bado hawajatoa vyeti vya "GRADUATES" Wahitimu wa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea.
Nimesikia kuna mgogoro kati yake na chuo kikuu cha Dar Es Salaam.
Mimi ni mhanga mmoja wapo nimefuatilia kupewa cheti lakini sijafanikiwa , wanasema Wanashughulikia.
Wahitimu hawana vyeti...
Mimi ni Architect, Kama ukiwa bado hujapata mtu wa kukufanyia design ya Ramani yako waweza kunitafuta kupitia anwani
ya
Email hii.
architectmadai@yahoo.com
MAREKEBISHA KIDOGO ,
Sema natafuta Architect, sio architecture.
Architecture ni kozi aliyosomea architect.
Hivyo Architect ndio mtu anaye-design.
tutawasiliana ktk email hii,
architectmadai@yahoo.com ,
Kiwanja kinauzwa kipo Tabata Segerea nyuma ya gereza la Segerea.Eneo wanita Bonyoko.
Ukubwa wake ni nusu heka. kipo sehemu nzuri sana.
bei ni Tshs. Mil. 15.8
kwa walio na nia ya kununua.
architectmadai@yahoo.com kwa mawasiliano.
Asante Mr. architect, Rugas
Nimesoma vifungu tajwa hapo juu.
Nimekuelewa..
Ila ukichunguza katika majarida yote ya Construction utaona mengi na Utanielewa maana kuna vya kujifunza.
architectmadai@yahoo.com
Sheria ipo na nimekuelewa.
Poa,
Tuombe uzima. Sample sio nzuri kwa vile utapewa Ramani ya nyumba ya Jirani. Mimi napenda tufanye Design kwa kushirikiana.
mimi nitaweka mawazo yako ktk karatasi (Michoro). Hii itaepusha kupewa ramani zenye kufanana.
Asante kwa mawazo.
Kuweka sample ni sawa ila nitaweka muda si mrefu.
Kufungua website kwa sasa sitaweza maana ndo nimeanza nguvu ni ndogo.
Bila shaka unaelewa kwa hapo.
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Mfano; Residential Houses, Hotels, Resorts, Comercial Residentail (mix use development) na Office Buildings.
Pia tunafanya interior Design na Landscape Design.
architectmadai@yahoo.com
Ndio Mr. Yebo yebo,
Mimi ni Architect, (Msanifu majengo).
Naomba nami nichangie kidogo.
Kwa mtaji wa 200ml, si mdogo sana itategemea na design ya ramani utakayopendekeza kuchorewa. Hii itategemea aina ya apartment utakoyopendekeza.
ktk jengo hilo hilo unaweza ukaweka apartment za aina tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.