Recent content by madabadaba

  1. madabadaba

    Wachina wawili wafurushwa nchini kwa kuwanyanyasa Watanzania

    CDM tunauliza, "itakuwaje endapo wachina hao wamewadunga mimba wadada kadhaa hapo Chunya, je wizara itawapa posho ya matunzo hao wadada?" Naona waziri kakurupuka tu.
  2. madabadaba

    Dr. Bashiru Ally: Watu hawana imani na mfumo wa upigaji kura

    Sio bure, huyu Dr ni pandikizi la CDM ndani ya lumumba street we must be careful Hapa hajadumisha fikra sahihi za mkuu wa CCM!!
  3. madabadaba

    Jeshi la Polisi kuwasaka ma 'admin' wa 'whatsapp'

    Unafaa kupewa hiki kitengo mkuu, uwakamate kimya kimya huyo afande ameunguza picha kwa kutoa tangazo kwa media Hapo atakamata hewa tu😃😃😃
  4. madabadaba

    Mjomba wangu kadhalilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Bunda kwa kupigishwa magoti mbele ya viongozi wenzake

    Mjomba ametuangusha wanaume lazima tulipe kisasi kwa mdada!!
  5. madabadaba

    Mhubiri wa kimataifa, Nabii Shepherd Bushiri atabiri Tanzania kuongoza nchi za Afrika kwa ugunduzi wa teknolojia

    Yesu mwenyewe atawapa kipigo acha waendelee kupiga njuru watahukumiwa kwa haki siku ya mwisho.
  6. madabadaba

    Wasichana watatu wanatafuta kazi

    Kumbe hauko serious? Endelea kusubiri majibu 2020[emoji1] [emoji1] [emoji1]
  7. madabadaba

    Wasichana watatu wanatafuta kazi

    Wapeleke Canada kuna nafasi kibao za kazi huko . Bongo hamna nafasi za kazi.
  8. madabadaba

    MBOWE: Tumeshajipa kibali cha kutangulia mbele za haki

    Na wewe endelea kujidanganya kuwa ccm inajenga nchi.
  9. madabadaba

    Tunamchukia Makonda lakini anajitahidi

    kolomije [emoji1] [emoji1]
Back
Top Bottom