Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Uko sahihi sana. Anafanya zaidi ili kujipa uhalali wa kuwa katika nafasi ambayo hata nafsi yake inamsuta kuwa hastahili kuwa nayo.Lazima ajitahidi kwa sababu anajua makosa yake!
Uko sahihi sana. Anafanya zaidi ili kujipa uhalali wa kuwa katika nafasi ambayo hata nafsi yake inamsuta kuwa hastahili kuwa nayo.Lazima ajitahidi kwa sababu anajua makosa yake!
Pole sanaMakonda anafanya kazi kuliko hao wenye vyeti na ana msaada mkubwa. Wanachohitaji wananchi ni maendeleo.
Umeandika lugha gani?mimi na malizia kusema makonda hata uRaisi a naweza hao hao hao hao nimeludia kwakusstza wasio mpenda makonda ni wauza madawa yakulevya mimi nasema makonda chapakazi wanao chukia wajinjoge au wahamie nchijilani
Mikoani ndo wapi Mkuu?Hafai kabisa huyu Nyanda, nawashangaa wote mnaomsifia.
Nadhani mmekosa kazi za kufanya hasa nyie wa mikoani hamjitambui kabisa.
mimi na malizia kusema makonda hata uRaisi a naweza hao hao hao hao nimeludia kwakusstza wasio mpenda makonda ni wauza madawa yakulevya mimi nasema makonda chapakazi wanao chukia wajinjoge au wahamie nchijilani