Two weeks kwa jamaa arafu co dadaake??ni ngumu sana kuwa salama kwa muda woote coz ni baba mtto wake ni lazma tu jamaa alinyuu namb ya zaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn sisi tusio na elimu tunaachwa sana nyuma?my dear hv elimu unafikir ndyo kufanikio au mwanaume kuwa na elimu ya juu ndo maisha yatakuwa mazr kwako?my dear mtaan tupo wengi sana hatuna elimu tuna mapenz safi na tunajali sana ktk care ya mwanamke kuliko haaata haooo mnaowataka wenye maphd...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.