Kwa wataalam sinu tajwa hapo juu siwezi ingia menu ya huduma mtandao husika mfano mpesa huduma za voda inaandika error na inakubali kuangalia salio pekee
Mwl mshana jr, nipo chini ya miguu yako, simu yangu samsung z fold 2 haifanyi kazi kwenye ssd code ukipress mfano menu ya huduma inagoma labda *102# pekee ndio inakubali, naomba msaada
Naangalia camera,ram,inakaa na chaji,wepesi wa operations,tatizo mkuu hizo ulizoziorodhesha hazipakani kwenye maduka yetu ya uswahilini labda kama unaweza kunijuza naweza kupata wapi hizo nzuri? cc Chief-Mkwawa
Chief samahani naongezea swali jipya,nina budget ya kununua kati ya Samsung s10+,xiaomi mi note 10 au oppo reno 5.Nimeshindwa kung'amua kati ya hizo ipi inaweza kuwa feautures nzuri generally kupita zingine?.au kama kuna nyingine nje ya hizo nzuri kwa budget hyo.
Natanguliza shukrani Chief-Mkwawa
Naungana na mtoa mada huu ni uchaguzi wa kuwafurumusha wasaliti wa nchi hii, ambao wako kama walina asali wapo tayari nyuki tuungue wao waline asali HAIWEZEKANI!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.