Na hawa ccm walianzisha zoezi LA katiba mpya baada ya kuona katiba haitakua upande wao wakavuruga zoezi ndomana bora tujaribu sasa kumpigia kura kwa wingi huyu anayejinasibu kubadirisha katiba pengine tutaokoka na katiba mbovu kama hiiBila katiba mpya yenye kuteua tume huru hii ndoto tu! Kenya wanatucheka sana wa TZ! Timu ichague refa alafu awape ushindi upande mwingine? Tuamke tudai katiba mpya basi!