Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,288
Usilinganishe Google Pixel na Simu yoyoye kwa Picha hata Iphone hakamati yaniii..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Fan boy
Usilinganishe Google Pixel na Simu yoyoye kwa Picha hata Iphone hakamati yaniii..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Matumizi haya mkuu Oneplus 8 inakufa a kabisa.Naangalia camera,ram,inakaa na chaji,wepesi wa operations,tatizo mkuu hizo ulizoziorodhesha hazipakani kwenye maduka yetu ya uswahilini labda kama unaweza kunijuza naweza kupata wapi hizo nzuri? cc Chief-Mkwawa
Shukrani sana mkuu kwa ushauri ,umenipa mwanga unajua wengi tunanunua simu kwa sababu tu umeikuta dukani Chief-MkwawaMatumizi haya mkuu Oneplus 8 inakufa a kabisa.
Na mkuu unless unanunulia kenya Hutapata Simu nzuri ambayo sio Samsung ama Tecno hapa TZ.
Agizishia online ama Mtumie mtu akuletee.
Ni kweli OnePlus nao wanangangana sana kwenye simu zao ziko vizuriMatumizi haya mkuu Oneplus 8 inakufa a kabisa.
Na mkuu unless unanunulia kenya Hutapata Simu nzuri ambayo sio Samsung ama Tecno hapa TZ.
Agizishia online ama Mtumie mtu akuletee.