Habari wa jamvi!!, nawasalimu kwa jina la jamhuri. Naomba kwa mtu aliyewahi kusoma course yeyote ya Afya Ngazi ya Bachelor anipe hali elimu ya kule ikoje,Ada kwa mgeni,maisha kwa mgeni,tamaduni ya wazawa.[emoji120]
Kumbuka introvert ni tatizo(psychological effect), hivyo basis anapaswa kuwa na MTU ambaye ni well mentally ili aweze kum expose kwenye mazingira ambayo yataanza kumfanya achangamane na watu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.