Nimesoma comments kibao toka mwanzo wa thread mpaka sasa.
Hoja nilizoona
Watanzania ni watu fulani hivi (ma-dont care)
Inawezekana inasababishwa na kukosa Elimu ya kujitambua na kujua haki zao.
Mf. Walioweka kikokotoo na wanaotaka kiondolewe (bunge perfomance).
Kumbukumbu katika ufuatiliaji...
Headmaster wetu alikuwa anakupiga Tanganyika jeki ya mbavu.....alikuwa baunsa flani hivi anakamata nyama za mbavu halafu anakunyanyua juu....akikuachia maumivu yake SI ya nchi hii!
Niina miaka mingi nimemaliza SUA lakini wakati mwingine naotaga nipo freedom square na wadau napiga pepa .....na unakuta inanikimbiza mbaya .....nilisoma zaidi ya f6 ...Sembuche ..Matofali .....Kalugila we acha tu
Nilisoma SUA tulianza kozi yetu mtu 20 ...fist year to second year wakadisco 5 ....tukagraduate 10 live watano Waka carry Kwa sababu ya kushindwa kuchomoa tuta la semister ya mwisho ......wakaenda kuchomoa mwaka unaofuata baada ya miaka 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.