Mahudhurio Bungeni, Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani?

Umkonto

JF-Expert Member
Dec 27, 2018
2,143
3,670
Salaam! Kama members wa JF ni wengi siyo mbaya na sisi wengine tuwe tunaanzisha uzi kuliko kila ukiingia unakutana na nyuzi za watu wale wale!

Uzi Mkuu!

Kila nikijaribu kuangalia mahudhurio bungeni kupitia TV viti vingi vipo wazi! Tafsiri yake wabunge wengine ni watoro bungeni.

Swali;
1. Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani au kila siku wanakuwa na dharura?

2. Je, bunge hili lina tija ikiwa mijadala inaendeshwa na wabunge wachache?

3. Je, bunge kuwa la chama kimoja limepunguza uwajibikaji kwa mawaziri na wabunge wa CCM hivyo wanakula bata tu?

REJEO

Kipindi kile cha bunge la vyama vingi wabunge na mawazri walikuwa moto, kila mmoja alikuwa anajitahidi kuandaa nondo katika mijadala.

Yote kwa Yote!

Nchi kama Tanzania vyama vingi ni muhimu kwa ajili ya kuichangamsha serikali.
 
Salaam! Kama members wa JF ni wengi siyo mbaya na sisi wengine tuwe tunaanzisha uzi kuliko kila ukiingia unakutana na nyuzi za watu wale wale!

Uzi Mkuu!

Kila nikijaribu kuangalia mahudhurio bungeni kupitia TV viti vingi vipo wazi! Tafsiri yake wabunge wengine ni watoro bungeni.

Swali;
1. Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani au kila siku wanakuwa na dharura?

2. Je, bunge hili lina tija ikiwa mijadala inaendeshwa na wabunge wachache?

3. Je, bunge kuwa la chama kimoja limepunguza uwajibikaji kwa mawaziri na wabunge wa CCM hivyo wanakula bata tu?

REJEO

Kipindi kile cha bunge la vyama vingi wabunge na mawazri walikuwa moto, kila mmoja alikuwa anajitahidi kuandaa nondo katika mijadala.

Yote kwa Yote!

Nchi kama Tanzania vyama vingi ni muhimu kwa ajili ya kuichangamsha serikali.
Tunakula mema ya nchi, tunaingia asubuhi tunasaini sitting allowance Kisha tunaendelea na misele mingine
 
Salaam! Kama members wa JF ni wengi siyo mbaya na sisi wengine tuwe tunaanzisha uzi kuliko kila ukiingia unakutana na nyuzi za watu wale wale!

Uzi Mkuu!

Kila nikijaribu kuangalia mahudhurio bungeni kupitia TV viti vingi vipo wazi! Tafsiri yake wabunge wengine ni watoro bungeni.

Swali;
1. Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani au kila siku wanakuwa na dharura?

2. Je, bunge hili lina tija ikiwa mijadala inaendeshwa na wabunge wachache?

3. Je, bunge kuwa la chama kimoja limepunguza uwajibikaji kwa mawaziri na wabunge wa CCM hivyo wanakula bata tu?

REJEO

Kipindi kile cha bunge la vyama vingi wabunge na mawazri walikuwa moto, kila mmoja alikuwa anajitahidi kuandaa nondo katika mijadala.

Yote kwa Yote!

Nchi kama Tanzania vyama vingi ni muhimu kwa ajili ya kuichangamsha serikali.
Bunge limepoa na kupwaya....wanakula hela bure wapo kusema ndioooo
 
Magufuli alipopora uchaguzi aliona atapata sifa kuwa ameiimarisha ccm, matokeo yake akatangeneza bunge lisilo na uhalali wa umma. Kinachoendelea Sasa ni umma kupoteza hamasa na bunge, na wabunge kuona hakuna anayewafuatilia hivyo, acha waendelee na mambo mengine Ili mradi fedha zao zinaingia.

Iko hivi, ccm sio chama Cha kizazi hiki, inapolazimisha kutangazwa washindi bila ridhaa ya umma, wanashusha hamasa ya wananchi kufuatilia siasa, na hatari zaidi ni kupuuza viongozi wanaopatikana bila ridhaa ya umma. Ila inapotekea kuna wapinzani wa kweli, watu wanajenga hamasa ya kufuatilia siasa.
 
Salaam! Kama members wa JF ni wengi siyo mbaya na sisi wengine tuwe tunaanzisha uzi kuliko kila ukiingia unakutana na nyuzi za watu wale wale!

Uzi Mkuu!

Kila nikijaribu kuangalia mahudhurio bungeni kupitia TV viti vingi vipo wazi! Tafsiri yake wabunge wengine ni watoro bungeni.

Swali;
1. Wabunge wengine wapo wapi mbona hata majimboni hawaonekani au kila siku wanakuwa na dharura?

2. Je, bunge hili lina tija ikiwa mijadala inaendeshwa na wabunge wachache?

3. Je, bunge kuwa la chama kimoja limepunguza uwajibikaji kwa mawaziri na wabunge wa CCM hivyo wanakula bata tu?

REJEO

Kipindi kile cha bunge la vyama vingi wabunge na mawazri walikuwa moto, kila mmoja alikuwa anajitahidi kuandaa nondo katika mijadala.

Yote kwa Yote!

Nchi kama Tanzania vyama vingi ni muhimu kwa ajili ya kuichangamsha serikali.
Kama hawalipwi posho siku wanazokosekana, napendekeza waendelee kutoroka ili tuokoe
 
Magufuli alipopora uchaguzi aliona atapata sifa kuwa ameiimarisha ccm, matokeo yake akatangeneza bunge lisilo na uhalali wa umma. Kinachoendelea Sasa ni umma kupoteza hamasa na bunge, na wabunge kuona hakuna anayewafuatilia hivyo, acha waendelee na mambo mengine Ili mradi fedha zao zinaingia.

Iko hivi, ccm sio chama Cha kizazi hiki, inapolazimisha kutangazwa washindi bila ridhaa ya umma, wanashusha hamasa ya wananchi kufuatilia siasa, na hatari zaidi ni kupuuza viongozi wanaopatikana bila ridhaa ya umma. Ila inapotekea kuna wapinzani wa kweli, watu wanajenga hamasa ya kufuatilia siasa.
Lile jitu lilituharibia sana nchi yetu
 
Magufuli alipopora uchaguzi aliona atapata sifa kuwa ameiimarisha ccm, matokeo yake akatangeneza bunge lisilo na uhalali wa umma. Kinachoendelea Sasa ni umma kupoteza hamasa na bunge, na wabunge kuona hakuna anayewafuatilia hivyo, acha waendelee na mambo mengine Ili mradi fedha zao zinaingia.

Iko hivi, ccm sio chama Cha kizazi hiki, inapolazimisha kutangazwa washindi bila ridhaa ya umma, wanashusha hamasa ya wananchi kufuatilia siasa, na hatari zaidi ni kupuuza viongozi wanaopatikana bila ridhaa ya umma. Ila inapotekea kuna wapinzani wa kweli, watu wanajenga hamasa ya kufuatilia siasa.
Hakuna wapinzani wa kweli nchi hii,wamejaa waviziaji,wajanja wanaochangisha pesa za wenzao na kunufaisha familia zao.

Na ukae ukijua kabisa watanzania kwa mamilioni mitaani wanauelewa mkubwa sana kuwa adui yao namba moja ni wanaojiita wapinzani,hasa kijikundi cha chadema na washirika wao kutoka ujerumani na Denmark,fedha chafu kwenye chaguzi zao ni ishara kuwa wapinzani ni majizi yaliyopungukiwa uhalali na yanausaka kwa udi na uvumba.

Kwahiyo mjirekebishe sana,na tutawagalagaza sana kwenye chaguzi zijazo hadi mpate adabu na genge lenu la wachaga
 
Hakuna wapinzani wa kweli nchi hii,wamejaa waviziaji,wajanja wanaochangisha pesa za wenzao na kunufaisha familia zao.

Na ukae ukijua kabisa watanzania kwa mamilioni mitaani wanauelewa mkubwa sana kuwa adui yao namba moja ni wanaojiita wapinzani,hasa kijikundi cha chadema na washirika wao kutoka ujerumani na Denmark,fedha chafu kwenye chaguzi zao ni ishara kuwa wapinzani ni majizi yaliyopungukiwa uhalali na yanausaka kwa udi na uvumba.

Kwahiyo mjirekebishe sana,na tutawagalagaza sana kwenye chaguzi zijazo hadi mpate adabu na genge lenu la wachaga
Hao wananchi wangekuwa na uelewa mkubwa wa hivyo Leo hii ccm isingekuwa madarakani. Fedha chafu zitoke Ujerumani na Denmark ziende cdm, lakini nchi hii Kuna Mirada kibao ya Wajerumani na WA Denmark, nazo hizo ni fedha chafu? Uzo ubongo huo dogo, hizo propaganda ni so outdated.

Mtawagalaza nani, kwa uchaguzi gani labda?
 
Nadhani Lugha sahihi ni vikao vya ccm vinavyo fanyika kwenye ukumbi wa bunge, wale sio wabunge ni wezi wa fedha za wananchi
 
Back
Top Bottom