Yohana 1 : 1 - 4 "
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. "
Wafilipi 2 : 10 - 11 " Kwa ajili ya jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu "
We ni mjinga
Tazama hisa za Google kama hazija shuka
Tazama hisa za Tesla kama hazija shuka
Tazama hisa za Amazon Kama hizajashuka
Karibia ya 95% ya kampuni za tekno zimefilisika kutokana na uchumi wa Dunia kushuka
Sio Google , sio Netflix na hata hao Tesla wenyewe unaowatetea Hisa zao zimeshuka.
Nima kampuni ya tekno karibia ya 95% , Yana yanapitia magumu kipindi hichi Hadi kufikia kufukuza wafanyakazi wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.