Tiba ya macho mekundu ni hii hapa. :- chemsha majani ya chai, Lita moja aina yoyote ( green label tea) ifanye strong , kisha ipoze iwe uvuguvugu usiweke sukari. Kisha osha macho Mara Tatu. (asubuhi , mchana, na wakati wa kulala.) Endelea kwa siku tatu utaona Matokeo bora.
Hiyo namba 13 inabeba mambo mengi. Ni kweli Katika karamu ya mwisho ya Bw. Yesu pamoja na wanafunzi wake ilifanyika ikiwa na washiririki walikuwa 13. Na ilimalizikia yuda iskariote kujiua. Lakini ni mtazamo tu.
Katika nchi ya Amerika kuna LA mji kadogo kanaitwa "Salt Lake", ambapo Series za...
Tupo karibu na wewe hapo ulipo ila hauwezi kutuona , si unakumbuka ile sinema iitwayo Pedetor. Alipo predator, anaakisi rangi ya mazingira, hivyo huwezi muona.
Maria Celestine , yatch ilipotea Katika eneo la Bermuda triangle na ikapatikana maili kadhaa nje ya eneo hilo lakini abiria na capteni hawakuwemo, na kila kitu ndani ya chombo hicho kilkuwa intact, Kama vile glass na chupa za pombe zilizokuwa mezani zikiwa bado mezani. Ni Kama vile watu...
Ukristo, sio kanisa lolote lile. Ukristo ni kumuamini na kumfuata Yesu Kristo.
Yesu Kristo, hapiganiwi, wala hasaidiwi na dini yoyote, taasisi yoyote, na wala mtu yeyote Yule, au utawala wowote ule.
Yesu kristo, anajipigania mwenyewe, tena yeye huwapigania wafuasi wake, na wao wakabaki...
Ukristo, sio kanisa lolote lile. Ukristo ni kumuamini na kumfuata Yesu Kristo.
Yesu Kristo, hapiganiwi, wala hasaidiwi na dini yoyote, taasisi yoyote, na wala mtu yeyote Yule, au utawala wowote ule.
Yesu kristo, anajipigania mwenyewe, tena yeye huwapigania wafuasi wake, na wao wakabaki...
Brother, mamba ni super predator bila ubishi, kwa sababu hizi. 1. Hana huruma kwa victim wake, 2. Haogopi mnyama anayekabiliana naye. 3. Vile vile, mamba Yuko accurate zaidi Katika kuwinda huwezi mlinganisha na Simba. Wapo wanyama ambao Simba huwawinda kwa taabu Sana na ikibidi huishia...
Panya road wa Dar, ni kwa ajili ya watu wa Dar. Panya road wa miji kama vile Tarime, wakiibuka lazima watakuwa Wakali kuliko wakazi wa maeneo hayo. Usiwadharau watu wa Dar kwa sababu watu wa Dar, hawatembei na silaha kama vile sime na fimbo.
Panya road wakiibuka kwenye miji ya watu wanaotembea...
Pesa hizo za mabulungutu utazipata kwa waganga kwa sababu wanatumia nguvu za Giza. Lakini ujue kuwa pesa hizo huzipati kirahisi hivo. Lazima utalipa kwa gharama kubwa Sana.
Kama unataka pesa hizo, jiandae kwa matokeo haya .
1.kupata kidonda kisichopona (donda ndugu).
2. Kufa ghafla kwa Mzazi...
Namtahadharisha asijaribu kujitundika. Mtu akijinyonga haendi ahera wala kuzimu, bali atabaki akirandaranda makaburini hadi siku zake alizopangiwa zitakapotimia. Yeye atulie atumikie adhabu ya kiburi chake. Malipo ni hapa hapa. Muosha huoshwa.
Alivomwosha T. Lissu, alifikiri kuwa yeye atadumu...
Kaomba msamaha wa mchongo. Tulisikia wazi wazi, akihutubia kundi la watu kwa mdomo wake mwenyewe, sasa nani alimtenengenezea clip ?. Mama Samia, chunga sana jamaa huyo ni mnafiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.