Hata mimi hili la Lukuvi eti kauawa sitalinunua labda nipiwe sababu za maana sana. Wamuue ili iweje? Huyu alikuwa ni chawa anayechumia tumbo lake tu na hata angeweza kuamsifia shetani ili tu ale. Lukuvi hakuwa na ushawishi wowote wa kuweza kuwa hatari.
Mkuu hili la debe la 2030 linalopigwa kwa nguvu kabisa mimi naona ni kama ku-brain wash wananchi wamkubali huyu muuaji na yote aliyofanya wahamishie mawazo yao 2030, yaani wakubali kuwa 2025 mpaka 2030 tayari ina rais halali
Angalia hii filamu ya dark comedy inaitwa ''Bad Shabbos'' ya mwaka 2024. Kama umewahi kuona dark comedy inaitwa ''Death at a Funeral'' ya mwaka 2007, basi zina uelekeo wa aina moja. Ni vituko vya kuchekesha baada ya mgeni kufariki ghafla...
Aisee, you are out of touch. Mzee wa ku-google naona unautendea haki utanzania wako. Mtanzania tangu ajue kuna ku-google yeye mkibishana jambo dogo yeye ana-google na kuweka vitu ambavyo in context ni mbingu na ardhi. Wenzako tunazungumzia maisha tuliyoishi na kushuhudia kwa macho yetu.
Mbona kwenye mitandao ya jamii asilimia kubwa ya watu wamefurahi kiasi kwamba huyu jamaa akiomba mchango anaweza kupata mabilioni ya fedha ikiwa kweli ndiye yeye aliyemstaafisha?
Sidhani kama ni kweli. Nchi zilizoendelea wafanyakazi incompetent hawajajaa sana na wangekuwa wamejaa sana basi ungekuta wako kama sisi. Kunaweza kuwa na elements ndogo ndogo lakini kwa ujumla ni wengi ni wachapakazi. Tanzania iko level nyingine na usijaribu kulinganisha na dunia nzima.
Uko sahihi mno. Sijui mwanzisha mada anaishi wapi ambako waalim au wasomi wanachukiwa. Kazi ya ualimu wengi wanaidharau (siyo kuchukia waalim). Hata ''wasomi'' wanaochukiwa ni hawa ma ''Dr'' feki kama Samia na siyo wasomi wa kweli. Chuki ya watanzania iko kwa viongozi wa CCM.
Nimesoma comments nyingi hapa zinakubaliana na maoni ya mleta mada. Mimi nadhani haya ni maoni yake kwa sababu nipo kwenye social media sana na kundi ambalo ni dhahiri kabisa linachukiwa sana na watanzania ni wanasiasa wa CCM. Hawa sasa hivi wanachukiwa kuliko shetani mwenyewe hasa baada ya 29/10
Halafu huyu ndugu alikuwa na haiba inayofanya watu waone kama ni mtu mwenye busara kweli kweli. Alivyokaa-kaa, anavyovaa, sauti yake na body language wakati anaongea. Utadhani ni mtu anayezungumza kitu cha maana, ukweli na busara sana. Kumbe anasema uongo wa mchana kweupe bila kujali utu wala...
Huu unaweza mchezo wa kupandikiza mawazo ya kumkubali muuaji Samia kwa wananchi. Alianza Bashite. Yaani wanataka wananchi ''wakubaliane na matokeo'' kuwa Samia ndiye rais mpaka 2030 na wasahau wananchi waliouawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.