Recent content by macho_mdiliko

  1. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Ok. Nakubali ni maelezo ya upande mmoja na hayawezi kutufanya tuamue ni nani mkosefu. Swali: kwa nini wewe unataka tukuamini kwa haya haya maelezo ya upande mmoja? Yaani unaongea kama wewe ndiye hii kampuni! Kuna kitu unajaribu kuficha? Nina wasiwasi sana kwa sababu unavyotetea siyo kawaida. Kwa...
  2. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Mbona kasema waliomba achukuwe fedha kidogo? Ingekuwa hivyo wangelipa? Atafute mwanasheria
  3. macho_mdiliko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya’s Maize Shortage

    Mtalii mmoja alikwenda India kutalii akitokea Ulaya. Aliporudi, Ulaya aliuzwa umeona nini? Akawa analia na kusema ameona watu wengi wako pekupeku na hatasahau. Mwingine naye alipokwenda aliporudi akasema ameona fursa ya biashara ya viatu. Kweli, akaifanya kwa mafanikio makubwa. Sisi watanzania...
  4. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Mkuu, nadhani wengi hawajui maana ya activist. Wengi mnadhani mtu akiwa active kwenye social media kuandika maneno makali hata matusi basi ni activist! Kutukana siyo uanaharakati. Na kuhusu kutaka mwanasiasa awe mnafiki kwa sababu tu anataka kupendwa nako siungi mkono. Hizo ni siasi za Bongo za...
  5. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    You have been fed a wrong info about uanaharakati... so do unasiasa as many Tanzanians.... Usimeze kila kitu unacholishwa.
  6. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Sadism is the art of abducting, turture and killing of innocent young people... go to hell.
  7. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    CHADEMA ni taasisi hata mimi nakubali. Lakini tujiulize: Je, kwa sababu ni taasisi basi ikumbatia na kusikitika na muuaji ambaye muda wote anapita akitamba jinsi alivyouawa? Mimi wala sishauri CHADEMA ifurahie au itoe tamko la kufurahia. Inaweza kukaa kimya na ikawa ni meseji tosha. Kwani...
  8. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Hivi wewe rais akiua ndugu yako utakaa kimya kwa sababu ni suala binafsi? Unataka rais apingwe kwa sababu ya uzalendo? Kwa taarifa yako Samia anapingwa kwa sababu kaua watu wasio na hatia.
  9. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Mange hajamlaumu Lissu kwa ubaya wala hajasema amefanya kosa. Usijaribu kupotosha mambo.
  10. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Samia ni wengi tulikuwa tumedhani ataleta mabadiliko na ndivyo inavyotakiwa. Usimhukumu mtu kabla hajafanya kosa. Kuhusu hili sula la ''rambirambi''. Samia ni muuaji asiyetakiwa kuonewa huruma kwa chochote kinamchomkuta. Ameua vijana wengiambao hawana makosa na mpaka sasa bado anatamba jinsi...
  11. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Walishaonja wengi tu lakini inaonekana hawajifunzi. Pengine hii siyo njia nzuri ya kumfunza mtu aliye kwenye ulaji.
  12. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki ndiyo wakulaumiwa. Walitakiwa wawe wa kwanza kusema chochote kama mambo hayako sawa. Ila bado naunga mkono hoja yako, hata sisi wananchi tunatakiwa tuhoji kwa sababu alikuwa ni kiongozi wa umma.
  13. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Mh.... una hoja. Shetani amechimbia Kisimkazi, eti ana uchungu wa kufiwa na ''mume'' huku akisujudiwa wakati wasema ukweli ama wameuawa au hawajulikani waliko na watu wote wanaona ni kawaida.
  14. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Mbowe ni dalali na tulishamalizana naye siku nyingi. Peleka mapenzi yako huko mlikokutana.
  15. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Uko sahihi. Ila Bashiru amekuja kubadilika mno mno na kuwa mbaya kuliko fisi.
Back
Top Bottom