My point ni kuwa: kama utumiaji wa gas ni rahisi kuliko mafuta na perfomance ni sawa kwanini watu hawabadilishi magari yao yatumie gas kwa wingi ikitia maanani imeanza siku nyingi? Of course nazungumzia hii teknolojia ya kuongezea mitungi ya gas kwa sababu ndiyo hoja ya hii thread.
Kwanini demand iwe ndogo wakati wanasema ina nafuu kubwa kuliko mafuta? Siku zote kitu chenye soko kubwa sidhani kama gharama za kuwekeza zinaweza kuwa issue. Watu binafsi wanajenga vituo vya mafuta kibao.
Hili linakushangaza wewe kama linavyonishangaza mimi. Kila siku kuna kelele kuwa ni ina nafuu kuliko mafuta lakini katu hakuna utekelezaji. Ulishajiuliza? Hao wabunge wanaopiga kelele magari yao yanatumia hizo gesi?
Wenye mabasi kila siku wanalalamika kuwa bei ya mafuta imepanda sana, mbona...
Ukipata uongozi makini wenye uzalendo, kupunguza matumizi ya serikali kunaweza kuokoa fedha nyingi mno. Posho, vikao, magari na nyumba, kusafiri nk yaani kuna kila njia.
Hili naunga mkono. Nilishafikiria hivi siku nyingi sana. With technology, everything is possible. Kuna uwezekano wa kila mwananchi kuweza kufuatilia mapato na matumizi yote ya serikali kwa kutumia hii njia.
Lakini nina uhakika CCM hawatakubali kwa sababu wanajua hawataweza kuiba kwa urahisi...
Hili la kusema Afrika watu ndiyo hufanya kazi ngumu zaidi una uhakika nalo? Siyo kama zile zile story za kusema wanaokula ugali ndiyo wenye nguvu na wazungu ni legelege? Mimi nadhani Afrika ndiyo yenye watu wavivu zaidi. Kama umewahi kufika Ulaya au nchi yoyote iliyoendelea nadhani utakubaliana...
Benki hazifanyi mambo kwa kubahatisha. Wana wanasheria na mikopo au dhamana yoyote wanayojihusisha nayo huwa wanahakikisha haitawageuka. Ila sijasema kuwa hakuna kitu kama hicho, bali nimeshangaa na kama iko hivi basi ni mtandao unaohusisha mpaka watu wa benki.
Unawaza ninachokiwaza mimi. Kuna wengi watamtumia private msg ''kumbembeleza na kumsihi'' awaambie aliponaje. Na hao ndiyo anawatafuta na ndiyo lengo lake.
Unatakiwa ufanye research kabla ya kuandika hivi. Wanahabari ni watu wanaojulika na watu wengi , hivyo vifo vyao ni lazima vitajulikana na watu wengi.
Nikikuuliza ni madaktari au mahakimu wangapi wamefariki mwaka huu bila shaka utajua wale unaowajua ambao ni wachache.
Daktari anajulika na...
Wana-complicate maneno kiasi ambacho raia hawatakaa wayatumie kwa sababu ni magumu halafu hayaendani na vitu. Kwa nini hawashirikishi umma? Kwenye hii list neno walilolipatia ni kadikazi (business card). Ukiniambia mimi nitoe maoni yangu:
1. Charger - kichajio
2. Appertizers - kitiahamu
3...
Ndoa ya aina hii haina amani. Ukiona ndoa imefikia stage hii basi ujue ina hali mbaya. Watu wazima hata kama ni kupishana kwenye kauli au mambo, haitakiwi mfikie stage ya kutukanana na kufokeana. Kuna namna unaweza kumwelekeza mtu na akaelewa vizuri zaidi.
Really? Wewe ndiyo ungekuwa wa kwanza kujua tatizo letu la uongozi mbovu! Tukitaka kubadilika inabidi tu-deal na shina la tatizo na siyo matawi yake. Ukosefu wa ajira ni tatizo la uongozi wa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.