Hoja zako hazina uhusiano na ulichoandika. Nasema hivyo kwa sababu hayo maisha sisi tunayaishi tangu zamani na yametufikisha hapa tulipo, Kuhusu suji waalim kutoka Afrika, wewe endelea kuota. Au kusanya vijana w kitanzania waliosomea ualim wanaobugia vumbi la boda boda uwapeleke wakapige fedha.
Samia ni muuaji. Kaua vijana wengi sana sana ambao hawakuwa na hatia hata kidogo. Haya tukubaliane na makatili wanaosema kuwa wale waliouwa 29/10 walikuwa wahalifu na walipaswa kuuawa. Swali: je vijana wadogo kiumri ambao walitekwa na kupozwa kabla ya uchaguzi walikuwa na kosa gani`? Anzia na...
Spot on! Ndiyo maana huwa tunasema nchi yetu staarabu bado kabisa. Huyú kuna uwezekano atakuwa ni mgonjwa wa akili na polisi walichotakiwa kufanya ni kum- contain. Hakuna jambazi anayepora kwa njia hii.
Watanzania tuna bahati mbaya inayotuathiri sana kwenye uelewa wa mambo.... i.e. elimu ya kukariri shuleni. Watanzania wengi tunashindwa kuelewa mambo kwa upana na kina kwa sababu tumekuwa warahisi sana ku-manupulate. Hivi unajua hata Adolf Hitler mpaka sasa hivi ana watu wengi ambao wanaamini...
Uko sahihi mno. Hili ni tatizo kubwa la Tanzania. Haliwezi kurekebishwa kama unavyozima switch ya umeme bali linahitaji viongozi sahihi na itachukuwa muda. Kila kitu kinawezekana na hili pia linawezekana mrati tu tupate viongozi sahihi. Na ili kupata viongozi sahihi ni lazima tupate mifumo...
Ok. Nakubali ni maelezo ya upande mmoja na hayawezi kutufanya tuamue ni nani mkosefu. Swali: kwa nini wewe unataka tukuamini kwa haya haya maelezo ya upande mmoja? Yaani unaongea kama wewe ndiye hii kampuni! Kuna kitu unajaribu kuficha? Nina wasiwasi sana kwa sababu unavyotetea siyo kawaida. Kwa...
Mtalii mmoja alikwenda India kutalii akitokea Ulaya. Aliporudi, Ulaya aliuzwa umeona nini? Akawa analia na kusema ameona watu wengi wako pekupeku na hatasahau. Mwingine naye alipokwenda aliporudi akasema ameona fursa ya biashara ya viatu. Kweli, akaifanya kwa mafanikio makubwa. Sisi watanzania...
Mkuu, nadhani wengi hawajui maana ya activist. Wengi mnadhani mtu akiwa active kwenye social media kuandika maneno makali hata matusi basi ni activist! Kutukana siyo uanaharakati. Na kuhusu kutaka mwanasiasa awe mnafiki kwa sababu tu anataka kupendwa nako siungi mkono. Hizo ni siasi za Bongo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.