Ok. Nakubali ni maelezo ya upande mmoja na hayawezi kutufanya tuamue ni nani mkosefu. Swali: kwa nini wewe unataka tukuamini kwa haya haya maelezo ya upande mmoja? Yaani unaongea kama wewe ndiye hii kampuni! Kuna kitu unajaribu kuficha? Nina wasiwasi sana kwa sababu unavyotetea siyo kawaida. Kwa...
Mtalii mmoja alikwenda India kutalii akitokea Ulaya. Aliporudi, Ulaya aliuzwa umeona nini? Akawa analia na kusema ameona watu wengi wako pekupeku na hatasahau. Mwingine naye alipokwenda aliporudi akasema ameona fursa ya biashara ya viatu. Kweli, akaifanya kwa mafanikio makubwa. Sisi watanzania...
Mkuu, nadhani wengi hawajui maana ya activist. Wengi mnadhani mtu akiwa active kwenye social media kuandika maneno makali hata matusi basi ni activist! Kutukana siyo uanaharakati. Na kuhusu kutaka mwanasiasa awe mnafiki kwa sababu tu anataka kupendwa nako siungi mkono. Hizo ni siasi za Bongo za...
CHADEMA ni taasisi hata mimi nakubali. Lakini tujiulize: Je, kwa sababu ni taasisi basi ikumbatia na kusikitika na muuaji ambaye muda wote anapita akitamba jinsi alivyouawa? Mimi wala sishauri CHADEMA ifurahie au itoe tamko la kufurahia. Inaweza kukaa kimya na ikawa ni meseji tosha. Kwani...
Hivi wewe rais akiua ndugu yako utakaa kimya kwa sababu ni suala binafsi? Unataka rais apingwe kwa sababu ya uzalendo? Kwa taarifa yako Samia anapingwa kwa sababu kaua watu wasio na hatia.
Samia ni wengi tulikuwa tumedhani ataleta mabadiliko na ndivyo inavyotakiwa. Usimhukumu mtu kabla hajafanya kosa. Kuhusu hili sula la ''rambirambi''. Samia ni muuaji asiyetakiwa kuonewa huruma kwa chochote kinamchomkuta. Ameua vijana wengiambao hawana makosa na mpaka sasa bado anatamba jinsi...
Wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki ndiyo wakulaumiwa. Walitakiwa wawe wa kwanza kusema chochote kama mambo hayako sawa. Ila bado naunga mkono hoja yako, hata sisi wananchi tunatakiwa tuhoji kwa sababu alikuwa ni kiongozi wa umma.
Mh.... una hoja. Shetani amechimbia Kisimkazi, eti ana uchungu wa kufiwa na ''mume'' huku akisujudiwa wakati wasema ukweli ama wameuawa au hawajulikani waliko na watu wote wanaona ni kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.