Mkuu hakuna mtu anayedharau hawa viongozi kama mimi. Watatoa amri kwa mambo mangapi? Nchi si ina katiba, sheria na kanuni? Si kuna watu waliopewa kazi na wanalipwa? Mkuu wa mkoa na packing za magari wapi wapi? Kwa nini wahusika wasifukuzwe kama hawatimizi wajibu wao? Nchi inaendeshwa kwa matamko...
Hawa kina Odero wanataka mtindo wa kugawana madaraka kama Zenji. ACT ''wajaza matumbo'' wameshakubali kila uchaguzi watakuwa wanapewa makombo na katu hawataachiwa kushinda. Bila shaka CCM na kibaraka wao Odero hawatakubali kuwa na mfumo kama huu unaolezea kwa sababu utawafuta kwenye siasa za...
Kinachoendelea sasa hivi Zanzibar wanasiasa kugawana madaraka ili kujaza matumbo yao na kuua upinzani. Ni suala la muda tu hata wananchi watawachoka hawa kina OMO kwa sababu wamegeuka kuwa vibaraka wa serikali.
Una maana gani? Parliamentary democracy kama Sweden au unataka nyie wanasiasa mgawane madaraka kama Zanzibar? Huu ujinga wa umoja wa kugawana madaraka ambao Zanzibar wamepachika jina la umoja wa kitaifa ni uozo. Tanzania tunahitaji katiba ya wananchi na wananchi ndiyo wataamua mfumo mzuri.
Mimi nakuelewa sana na pole kwa majibu mabovu kutoka kwa members wengine. Kujua chimbuko lako ni jambo la faraja na umefanya vizuri sana kutumia social media. Kama kweli baba yako hilo ni jina lake halisi, uwezekano wa kumpata ni mkubwa. Wasiwasi unakuja kama jina lake halisi ndilo hilo hapo...
Hapo wengi wanaongozwa na hasira za maisha na siyo kwa sababu ya ajali iliyotokea. Vijana wengi wenye maisha ya kuunga-unga wamejawa na chuki kwa wenye afadhali ya maisha. Nchi yenye vijana wengi wasio na ajira kama Tanzania, huwa inakuwa kama petrol inayosubiri moto.
Watanzania tuache unafki! Nchi ikishafikia kwenye stage ya kuua raia bila kosa kama ilivyokuwa 29/10 na muuaji akapita mitaani anatamba na baadhiyetu tukamshangilia na kuendelea na maisha, hiki kilichotokea kwa huyu kijana kinawashangaza kweli?
Mkuu, matukio kama haya yanayotokea nyuma ya pazia na hayafahamiki ni mengi. Hakuna kikosi chenye kiu ya damu kama hawa watu. NB: watu watanishangaa sana mimi nikisema tukio kama hili wala halijanishangaza hata kidogo. Kama rais wa nchi anaweza kufurahia hadharani kuuawa kwa watu kama...
Mkuu kuumia tu hakutoshi na una cha kufanya. Hauko salama kama unavyodhani hata kama huongelei mambo ya siasa na usifikirie kusema ''Mungu awasaidie'' wewe humo. Siyo lazima ufanye jambo kubwa sana kama unavyodhani. Unaweza kususia bidhaa, wasanii, media, timu za mpira etc ambavyo ni pro-CCM...
Siyo ukweli. Unapotosha. Kenya, Zambia, Malawi wote walikuwa na vyama dola kama CCM na wamevitoa. Tatizo kubwa la Tanzania ni wananachi wenyewe. Hawajitambui na elimu inaweza kuwa sababu moja kubwa. Elimu kwa maana kuwa tunayosoma ni ya kukariri na kufanya mtu asiwe na upeo wa kuona mambo.
Waafrika akili zetu ni kama nyani... pengine. CCM siyo wajinga kukataa uchaguzi huru kwa gharama za vifo na vikwazo. Kwa taarifa yako kila kabla ya uchaguzi TISS huwa wanafanya utafiti wa siri kwa kutumia opinion poll kuona jinsi wanavyokubalika na pia rais wao. Mara zote wanaona watagaragazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.