Recent content by macho_mdiliko

  1. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Kamata yeyote aliepaki Lori kwenye service roads

    Mkuu hakuna mtu anayedharau hawa viongozi kama mimi. Watatoa amri kwa mambo mangapi? Nchi si ina katiba, sheria na kanuni? Si kuna watu waliopewa kazi na wanalipwa? Mkuu wa mkoa na packing za magari wapi wapi? Kwa nini wahusika wasifukuzwe kama hawatimizi wajibu wao? Nchi inaendeshwa kwa matamko...
  2. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi: Hii ni haki kweli? Nimelipa deni, lakini bado nakataliwa mkopo

    Kwenye kukopa historia ya mkopaji ni jambo muhimu mno. Kama unaona hiyo sheria haifai, basi anzisha entity yako ya kukopesha na ujitungie sheria zako.
  3. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Hawa kina Odero wanataka mtindo wa kugawana madaraka kama Zenji. ACT ''wajaza matumbo'' wameshakubali kila uchaguzi watakuwa wanapewa makombo na katu hawataachiwa kushinda. Bila shaka CCM na kibaraka wao Odero hawatakubali kuwa na mfumo kama huu unaolezea kwa sababu utawafuta kwenye siasa za...
  4. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Kinachoendelea sasa hivi Zanzibar wanasiasa kugawana madaraka ili kujaza matumbo yao na kuua upinzani. Ni suala la muda tu hata wananchi watawachoka hawa kina OMO kwa sababu wamegeuka kuwa vibaraka wa serikali.
  5. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Una maana gani? Parliamentary democracy kama Sweden au unataka nyie wanasiasa mgawane madaraka kama Zanzibar? Huu ujinga wa umoja wa kugawana madaraka ambao Zanzibar wamepachika jina la umoja wa kitaifa ni uozo. Tanzania tunahitaji katiba ya wananchi na wananchi ndiyo wataamua mfumo mzuri.
  6. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Mimi nakuelewa sana na pole kwa majibu mabovu kutoka kwa members wengine. Kujua chimbuko lako ni jambo la faraja na umefanya vizuri sana kutumia social media. Kama kweli baba yako hilo ni jina lake halisi, uwezekano wa kumpata ni mkubwa. Wasiwasi unakuja kama jina lake halisi ndilo hilo hapo...
  7. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Hapo wengi wanaongozwa na hasira za maisha na siyo kwa sababu ya ajali iliyotokea. Vijana wengi wenye maisha ya kuunga-unga wamejawa na chuki kwa wenye afadhali ya maisha. Nchi yenye vijana wengi wasio na ajira kama Tanzania, huwa inakuwa kama petrol inayosubiri moto.
  8. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Bi Ayi Dham'bin' Kut'lat kwa kosa gani umeuwawa

    Watanzania tuache unafki! Nchi ikishafikia kwenye stage ya kuua raia bila kosa kama ilivyokuwa 29/10 na muuaji akapita mitaani anatamba na baadhiyetu tukamshangilia na kuendelea na maisha, hiki kilichotokea kwa huyu kijana kinawashangaza kweli?
  9. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Bi Ayi Dham'bin' Kut'lat kwa kosa gani umeuwawa

    Mkuu, matukio kama haya yanayotokea nyuma ya pazia na hayafahamiki ni mengi. Hakuna kikosi chenye kiu ya damu kama hawa watu. NB: watu watanishangaa sana mimi nikisema tukio kama hili wala halijanishangaza hata kidogo. Kama rais wa nchi anaweza kufurahia hadharani kuuawa kwa watu kama...
  10. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Mkuu kuumia tu hakutoshi na una cha kufanya. Hauko salama kama unavyodhani hata kama huongelei mambo ya siasa na usifikirie kusema ''Mungu awasaidie'' wewe humo. Siyo lazima ufanye jambo kubwa sana kama unavyodhani. Unaweza kususia bidhaa, wasanii, media, timu za mpira etc ambavyo ni pro-CCM...
  11. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Ulimbukeni wa kukulia mbugani unawadanganya mengi.
  12. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Unaweza kuwa mwerevu zaidi? Hebu tukubali hisia zako... kuna kitu hakipi sawa. Kuua na kupiga ndiyo adhabu ya ''kitu kinapokuwa siyo sawa?''
  13. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Siyo ukweli. Unapotosha. Kenya, Zambia, Malawi wote walikuwa na vyama dola kama CCM na wamevitoa. Tatizo kubwa la Tanzania ni wananachi wenyewe. Hawajitambui na elimu inaweza kuwa sababu moja kubwa. Elimu kwa maana kuwa tunayosoma ni ya kukariri na kufanya mtu asiwe na upeo wa kuona mambo.
  14. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Waafrika akili zetu ni kama nyani... pengine. CCM siyo wajinga kukataa uchaguzi huru kwa gharama za vifo na vikwazo. Kwa taarifa yako kila kabla ya uchaguzi TISS huwa wanafanya utafiti wa siri kwa kutumia opinion poll kuona jinsi wanavyokubalika na pia rais wao. Mara zote wanaona watagaragazwa...
  15. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Watu wengine sijui mnafikiria kwa kutumia nini!
Back
Top Bottom