Recent content by macho_mdiliko

  1. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Familia imara hujengwa na baba dikteta na sio vinginevyo

    Hoja zako hazina uhusiano na ulichoandika. Nasema hivyo kwa sababu hayo maisha sisi tunayaishi tangu zamani na yametufikisha hapa tulipo, Kuhusu suji waalim kutoka Afrika, wewe endelea kuota. Au kusanya vijana w kitanzania waliosomea ualim wanaobugia vumbi la boda boda uwapeleke wakapige fedha.
  2. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha wafuasi wa Chadema kumtukana Lema na Lissu kisa kuhani msiba ni ishara ya Chadema kuwa ni kikundi cha wahuni kilichokosa viongozi

    Samia ni muuaji. Kaua vijana wengi sana sana ambao hawakuwa na hatia hata kidogo. Haya tukubaliane na makatili wanaosema kuwa wale waliouwa 29/10 walikuwa wahalifu na walipaswa kuuawa. Swali: je vijana wadogo kiumri ambao walitekwa na kupozwa kabla ya uchaguzi walikuwa na kosa gani`? Anzia na...
  3. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Familia imara hujengwa na baba dikteta na sio vinginevyo

    Hujauliza swali lolote
  4. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Biashara mpya Tanganyika: Majeneza used

    Nilipita Iringa juzi nikakuta wanauza vitanzi vya kujinyonga ''used''.
  5. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania KFC SIELEWI kabisa

    Hiyo migahawa umeanza kuisikia au kuijua tangu lini?
  6. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Spot on! Ndiyo maana huwa tunasema nchi yetu staarabu bado kabisa. Huyú kuna uwezekano atakuwa ni mgonjwa wa akili na polisi walichotakiwa kufanya ni kum- contain. Hakuna jambazi anayepora kwa njia hii.
  7. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Familia imara hujengwa na baba dikteta na sio vinginevyo

    Wewe unasumbuliwa na lack of exposure. Haya mambo uliyotaja, sehemu wanazolea watoto kwa mkono wa chuma ndiyo makao yake makuu.
  8. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Watanzania tuna bahati mbaya inayotuathiri sana kwenye uelewa wa mambo.... i.e. elimu ya kukariri shuleni. Watanzania wengi tunashindwa kuelewa mambo kwa upana na kina kwa sababu tumekuwa warahisi sana ku-manupulate. Hivi unajua hata Adolf Hitler mpaka sasa hivi ana watu wengi ambao wanaamini...
  9. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Familia imara hujengwa na baba dikteta na sio vinginevyo

    Hakuna anayekuzuia kulea watoto wako kwa njia za kijima. Fanya hivyo na kama kuna faida utaipata wewe. Good lucky.
  10. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Pamoja na mifumo mibovu na uongozi mbovu wa chama kwenye nchi yetu lakini pia tuna changamoto ya vijana waaminifu kwenye maeneo mengi

    Uko sahihi mno. Hili ni tatizo kubwa la Tanzania. Haliwezi kurekebishwa kama unavyozima switch ya umeme bali linahitaji viongozi sahihi na itachukuwa muda. Kila kitu kinawezekana na hili pia linawezekana mrati tu tupate viongozi sahihi. Na ili kupata viongozi sahihi ni lazima tupate mifumo...
  11. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Ok. Nakubali ni maelezo ya upande mmoja na hayawezi kutufanya tuamue ni nani mkosefu. Swali: kwa nini wewe unataka tukuamini kwa haya haya maelezo ya upande mmoja? Yaani unaongea kama wewe ndiye hii kampuni! Kuna kitu unajaribu kuficha? Nina wasiwasi sana kwa sababu unavyotetea siyo kawaida. Kwa...
  12. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Mbona kasema waliomba achukuwe fedha kidogo? Ingekuwa hivyo wangelipa? Atafute mwanasheria
  13. macho_mdiliko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya’s Maize Shortage

    Mtalii mmoja alikwenda India kutalii akitokea Ulaya. Aliporudi, Ulaya aliuzwa umeona nini? Akawa analia na kusema ameona watu wengi wako pekupeku na hatasahau. Mwingine naye alipokwenda aliporudi akasema ameona fursa ya biashara ya viatu. Kweli, akaifanya kwa mafanikio makubwa. Sisi watanzania...
  14. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Mkuu, nadhani wengi hawajui maana ya activist. Wengi mnadhani mtu akiwa active kwenye social media kuandika maneno makali hata matusi basi ni activist! Kutukana siyo uanaharakati. Na kuhusu kutaka mwanasiasa awe mnafiki kwa sababu tu anataka kupendwa nako siungi mkono. Hizo ni siasi za Bongo za...
  15. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    You have been fed a wrong info about uanaharakati... so do unasiasa as many Tanzanians.... Usimeze kila kitu unacholishwa.
Back
Top Bottom