1. Social life ya Africa ni nzuri. Watu wako karibu, kila kitu ni rahisi (kama una kipato)
2. Africa kama uko vizuri ki-uchumi unakuwa kama mfalme
3. Watu wako relaxed, hakuna uharaka kwenye kufanya kazi, sex nje nje,
3. Tuna maisha ya asili na vyakula vya asili, hatubanwi tunapofanya makosa...
Kama unaishi na familia au hata kama ni makazi, vurugu kama hizi siyo nzuri. Labda kwa mtu aliyezaliwa kwenye mazingira kama hayo lakini kwa mtu niliyekulia vijijini kama mimi, kwenye miti, hewa nzuri, unapanda na kufuga unachotaka, sehemu kama hizo hapana. Labda kama una kilinge cha kutafuta...
Hii ipo siku nyingi sana. Wakenya wamelizwa sana. Yaani ukiingia kingi tu ukasafari umekwisha. Ukishafika huko unachukuliwa kama unapelekwa sehemu ya kazi kumbe unaingizwa kwenye kambi iliyojitenga na hutatoka tena humo. Ukileta jeuri unateswa na hata kuuawa.
Uko sahihi. Kwanza ukichukuwa kiwango cha biashara ndogo ndogo zinazoanzishwa Bongo ni kubwa sana hivyo mortality rate ni lazima iwe kubwa. Hata nchi zilizoendelea biashara ndogo zinazo-survive ni ndogo, na kuna formula yake japo nimeisahau inaonyesha asilimia inabaki ngapi baada ya miaka eg...
Mkuu kuna wakati huwa nafikiria kuwa watanzania tuna ubongo wa nyumbu na si wa binadamu wa kawaida. Hivi mnajua 29/10 kilitokea kitu kisicho cha kawaida kabisa hasa kwa mtu uliyekuwa mji iliyokumbwa na maandamano?Unaweza kusema kabisa ile siku mtu yeyoye ungeweza kuuawa kwa kupigwa risasi bila...
Hapa ndipo huwa nasema waafrika tulipoambiwa bado hatuna uwezo wa kujitawala ilipaswa tukubali. South Africa haikuwa na uhalifu, madawa au wingi wa wageni kabla ya mwafrika kushika hatamu. Warudishe nchi kwa makaburu hawa kima!
Lissu ataachiwa siku si nyingi baada ya muuaji Samia kubinywa na ''mabeberu''. Mwanzisha thread ni mpumbavu aliyechanganyikiwa kama muuaji Samia anavyoweweseka. NB: Hata webisite, social media na app walizokuwa wame-block mpaka watu watumie VPN nasikia wataziachia siku si nyingi.
Nimekuelewa mkuu, lakini hapa wanaharakisha maangamizo yao tu. Na zaidi.... Kikwete ndiye sterling wa haya yote. Samia kwa vyovyote asingeweza kutengenza mtandano wa aina hii. Samia ni purpet tu anatumiwa na kina Kikwete. Kuna na ka-udini nyuma ya pazia. Kwamba ''walizoea mfumo Kristo, wacha...
Mkuu kwangu mimi kosa ni la CCM. Huwa najiuliza, pamoja na kuogopa kuwa akiondolewa watakosa ulaji, kwani hawawezi kufanya danganya toto? Kwamba wamwondoe na kumweka makamu wake ili tu kuokoa nchi? Hivi CCM imeshiwa watu wenye busara kiasi hiki?
Huyu mama kichwani hayuko sawa. Ni wenge la wale watu alioua kblana wakati wa uchaguzi. Anajua kabisa kuwa polsi hawaiwezi hiyo kazi na ndiyo kwanza watu watazidisha kurusha.
Mkuu Mbatia mwenyewe aliingizwa kingi na Magufuli. Alimdanganya NCCR itakuwa chama rasmi cha upinzani, watapewa wabunge 20 ili awe mpinzani bandia. Kuna kipindi alienda Mbeya kwa escote ya polisi akapewa na magari. Matokeo yake akadanganywa na Selasini alifanya vizuri sana kumnyoosha. BTW huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.