Recent content by macho_mdiliko

  1. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    1. Social life ya Africa ni nzuri. Watu wako karibu, kila kitu ni rahisi (kama una kipato) 2. Africa kama uko vizuri ki-uchumi unakuwa kama mfalme 3. Watu wako relaxed, hakuna uharaka kwenye kufanya kazi, sex nje nje, 3. Tuna maisha ya asili na vyakula vya asili, hatubanwi tunapofanya makosa...
  2. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Kama unaishi na familia au hata kama ni makazi, vurugu kama hizi siyo nzuri. Labda kwa mtu aliyezaliwa kwenye mazingira kama hayo lakini kwa mtu niliyekulia vijijini kama mimi, kwenye miti, hewa nzuri, unapanda na kufuga unachotaka, sehemu kama hizo hapana. Labda kama una kilinge cha kutafuta...
  3. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Tahadhari Juu ya Ahadi za Kazi Zenye Mishahara Minono Nje ya Nchi (Mtego wa Cambodia na Myanmar)

    Hii ipo siku nyingi sana. Wakenya wamelizwa sana. Yaani ukiingia kingi tu ukasafari umekwisha. Ukishafika huko unachukuliwa kama unapelekwa sehemu ya kazi kumbe unaingizwa kwenye kambi iliyojitenga na hutatoka tena humo. Ukileta jeuri unateswa na hata kuuawa.
  4. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Sina Deni anapenda Maswali: Kwa nini biashara ndogo Tanzania zinapata ugumu wa kukuza mitaji?

    Uko sahihi. Kwanza ukichukuwa kiwango cha biashara ndogo ndogo zinazoanzishwa Bongo ni kubwa sana hivyo mortality rate ni lazima iwe kubwa. Hata nchi zilizoendelea biashara ndogo zinazo-survive ni ndogo, na kuna formula yake japo nimeisahau inaonyesha asilimia inabaki ngapi baada ya miaka eg...
  5. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kuchomwa moto nikiwa dukani usiku wa saa 9 South Africa

    Mkuu kuna wakati huwa nafikiria kuwa watanzania tuna ubongo wa nyumbu na si wa binadamu wa kawaida. Hivi mnajua 29/10 kilitokea kitu kisicho cha kawaida kabisa hasa kwa mtu uliyekuwa mji iliyokumbwa na maandamano?Unaweza kusema kabisa ile siku mtu yeyoye ungeweza kuuawa kwa kupigwa risasi bila...
  6. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia hakwenda kumzika Bi. Suzan Magufuli, Mama wa aliyekuwa Rais wa Tanzania?

    Ushamba na ulimbukeni huu sasa.
  7. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kuchomwa moto nikiwa dukani usiku wa saa 9 South Africa

    Hapa ndipo huwa nasema waafrika tulipoambiwa bado hatuna uwezo wa kujitawala ilipaswa tukubali. South Africa haikuwa na uhalifu, madawa au wingi wa wageni kabla ya mwafrika kushika hatamu. Warudishe nchi kwa makaburu hawa kima!
  8. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA kwenye mazungumzo mazito na DPP kuhusu hatma ya Lissu

    Lissu ataachiwa siku si nyingi baada ya muuaji Samia kubinywa na ''mabeberu''. Mwanzisha thread ni mpumbavu aliyechanganyikiwa kama muuaji Samia anavyoweweseka. NB: Hata webisite, social media na app walizokuwa wame-block mpaka watu watumie VPN nasikia wataziachia siku si nyingi.
  9. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Nimekuelewa mkuu, lakini hapa wanaharakisha maangamizo yao tu. Na zaidi.... Kikwete ndiye sterling wa haya yote. Samia kwa vyovyote asingeweza kutengenza mtandano wa aina hii. Samia ni purpet tu anatumiwa na kina Kikwete. Kuna na ka-udini nyuma ya pazia. Kwamba ''walizoea mfumo Kristo, wacha...
  10. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Polisi wamtafuta aliyepandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa na bango lenye ujumbe ‘Uzinduzi wa Mapenzi’

    Ujinga mtupu. Hawana cha kufanya? Watu wengine ni wagonjwa wa akili...
  11. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Mkuu kwangu mimi kosa ni la CCM. Huwa najiuliza, pamoja na kuogopa kuwa akiondolewa watakosa ulaji, kwani hawawezi kufanya danganya toto? Kwamba wamwondoe na kumweka makamu wake ili tu kuokoa nchi? Hivi CCM imeshiwa watu wenye busara kiasi hiki?
  12. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi hakikisheni ‘Vi-clip clip’ visirushwe, msimame kwenye mambo yenu

    Huyu mama kichwani hayuko sawa. Ni wenge la wale watu alioua kblana wakati wa uchaguzi. Anajua kabisa kuwa polsi hawaiwezi hiyo kazi na ndiyo kwanza watu watazidisha kurusha.
  13. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Patrick Assenga arejea CHADEMA akitokea CHAUMMA

    Mkuu Mbatia mwenyewe aliingizwa kingi na Magufuli. Alimdanganya NCCR itakuwa chama rasmi cha upinzani, watapewa wabunge 20 ili awe mpinzani bandia. Kuna kipindi alienda Mbeya kwa escote ya polisi akapewa na magari. Matokeo yake akadanganywa na Selasini alifanya vizuri sana kumnyoosha. BTW huyu...
  14. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    Maaskofu wa vi-kanisa uchwara siku hizi wanapenda kuvaa hizo nguo za kichungaji za Roman Catholic. Tishia toto...
  15. macho_mdiliko

    JamiiForums Tanzania Kombo: Rais Samia amesemwa na kuchorwa sana baada ya uchaguzi, wakati amefanya kazi kubwa kutulinda kuwa na uhai

    Hawa watu wana kiburi mpaka kufikia hatua ya kumkejeli Mungu! Laana na iwe juu yao na watoto wao.
Back
Top Bottom