baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 13,243
- 15,301
Mambo ya kuuziana matumaini ni suala ambalo limechosha watu huyu mtu hatoshi hawezi kwendana na kizazi cha sasa namshauri akasome public speaking Edition six ajue namna ya kuzungumza nini kwa wakati gani. Kiongozi mkuu wa nchi anasema police wafiche clips za rushwa kweli? Tukisema mambo kama aya mnatuwinda kututeka kweli? Tuseme ameteleza jambo kama hili Serikali nalo inatakiwa kulitolea ufafanuzi?