Namshangaa tena sana mtu anyedai kwamba serikali si mtuhumiwa kwa kigezo kuwa Ripoti, ambayo ina faida zote kwao, wasingeweza kuichanganya na tukio hili la Lissu!!!
Ni rahisi tu, ikiwa matukio yafanyika pamoja kwa kutumia wa pande mbili kinzani, ni rahisi upande mmoja kuonekana hauhusiki so far...
Habari wanajf
Naomba kuuliza hivi mapenzi bila pesa bado yapo??? Na ni kweli kwamba mwanamke anayependa kuomba anakuwa hana upendo wa kweli Na Mwanaume huyo???
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ww umeishia form two kusoma biology *end product ya starch siyo amino acids /protein kama unavyodai* starch is a polysaccharides of monosaccharides glucose, galactose or fructose. Mbili za mwisho ni isomers ambazo mwisho wa siku huwa glucose.
Ugali wa mahindi ni "starch" au "wanga" ambayo huzalisha glucose, kama end product on hydrolysis. Kwa mnaokumbuka vizuri biochemistry glucose ni major fuel ya ubongo. Yaaani unatumia karibu 75% ya glucose yote mwilini hivyo kusema haina kazi "ni un-scientific" labda njoo na utafiti mpya au...
Kipi rahisi hapa kati ya uliyoyaandika na kusema tu TL alikuwa anatafutiwa Kesi itakayomnyima dhamana??
#Give the dog a bad name and hang it#.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jf;
Kinachoonekana hapa ni dola kutaka kukisambaratisha CUF ili kama MS akihama chama wapate point ya kuongea kwenye majadiliano yake kukabidhiwa nchi ya Zanzibar. Endapo MS akiingia kwenye huu mtego asahau kuhusu kukabidhiwa nchi.
Yetu macho, time teaches everyone when it comes to...
Unataka me nijiingize ni mtawala????
Wapeni ushauri wazingatie #utawala wa sheria na Utawala bora.
Kwan kufuata katiba ni vigumu????
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn nyie hamtaki kufuata #katiba ili yaishe???
Lissu anashinikiza mfuate katiba, yamewashinda??? Kwamba ni bora msitishiwe misaada ila katiba muiweke pembeni eee????
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.