Recent content by Machiegin

  1. Machiegin

    Waliooa wanawake darasa la 7 na kidato cha 4 wanafurahia ndoa zao kuliko waliooa wasomi

    Ww c drs la 7, maana wa drs la 7 hawezi dadavua hayo.
  2. Machiegin

    Natoa pole kwa mapacha walioungana, Consolatha na Maria

    Inasikitisha kwa kweli. Eee Allah wape uponyaji waja wako hawa.
  3. Machiegin

    Mmiliki halali wa mtoto ni mama au ni baba?

    Inakuweje kwenye wanyama, mfano ng'ombe au mbuzi.
  4. Machiegin

    Earphones Original - Mziki Mnene

    [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
  5. Machiegin

    Earphones Original - Mziki Mnene

    [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
  6. Machiegin

    Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

    Ekseleta badala ya accelerator Boda boda mpo?
  7. Machiegin

    Maisha kabla ya kuua na baada ya kuua ni tofauti sana

    Teh teh teh, labda ile naniliu walosoma wale wenye vibandiko vyeupe imeanza kufanya kazi. Samahani nilikuwa napita tu naenda zangu kama ifuatayo: [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji118]
  8. Machiegin

    Vyombo vya Wageni: Kauli mbaya waliyonayo kina mama wengi wa kitanzania

    Umegonga penyewe. Maana kuna mshikaji huku niliko yaani tangia anunue cushions miaka zaidi ya kumi ilopita hadi leo hii ninapoandika ujumbe huu ziko darini. Huwa ni kwa ajili ya wageni tu.
  9. Machiegin

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu azungumza na kula chakula kwa mara ya kwanza

    Praise the name of God, ALMighty
  10. Machiegin

    Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

    Unapona vizuri tu bhana, huku kwetu mbona imetokea watu kuumwa na kifutu mara nyingi lakini wanatibiwa na miti shamba na wanapona. Ila ukicheleweshwa kutibiwa ndo inshu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Machiegin

    IKULU: Rais Magufuli akutana na Bill Gates. Atenga bilioni 777 kutekeleza miradi mbalimbali sekta ya Kilimo na Afya

    Hunitakii mema wewe. Sitaki kupimwa mkojo mie. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Machiegin

    IKULU: Rais Magufuli akutana na Bill Gates. Atenga bilioni 777 kutekeleza miradi mbalimbali sekta ya Kilimo na Afya

    Uchochezi huo ndugu. Teh teh teh, nilikuwa napita tu naenda zangu kama ifuatavyo; [emoji117] [emoji125][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Machiegin

    Naomba msaada wa lugha!

    Vipi kuhusu "rooster" Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Machiegin

    DAR: Mahakama Kuu yatupilia mbali maombi ya wabunge Viti Maalum 8 wa CUF

    Naona Le profeseli naye kaamua kufuata nyayo za JPM.Teh teh teh. Hapa kutumbuana tu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom