Jamani kuna masufuria ninayahitaji ya kkupikia vyakula vya mashughuli zenye uwezo kuanzia kilo 50 hadi mia katika mtandao unaoitwa jumia nimejaribu kuwaandikia ili niwe na uhakika na ninachokifanya wamenijibu chakufanya lip tu ,utatumiwa vitu vyako, je jamani mna nishauri vp ?
Ni uhakika au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.