Recent content by Machi

  1. M

    Mtandao wa kuuza na kununua wa jumia je ni salama?

    Jamani kuna masufuria ninayahitaji ya kkupikia vyakula vya mashughuli zenye uwezo kuanzia kilo 50 hadi mia katika mtandao unaoitwa jumia nimejaribu kuwaandikia ili niwe na uhakika na ninachokifanya wamenijibu chakufanya lip tu ,utatumiwa vitu vyako, je jamani mna nishauri vp ? Ni uhakika au...
  2. M

    ACACIA waweka ushahidi hadharani kwa kampuni yao kusajiliwa nchini

    nani aliekwambia unayoyasema,umetumwa au?
  3. M

    Mauaji yanayoendelea Kibiti, Pwani: Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza

    Nyumba ya ibada inatatizo gani na ww au unachoka na waislam?
  4. M

    ACACIA waweka ushahidi hadharani kwa kampuni yao kusajiliwa nchini

    Wakiondoka nani mpya unaedhani hajaharibu?
  5. M

    Naomba maelekezo

    Habari zenu wadau, naomba mnielekeze wapi naweza kupata ushauri makini wa ufugaji kuku na mbuzi. Ahsanteni
  6. M

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Kwa hiyo mnataka kutwambia shikamoo ni neno la Kiarabu?
  7. M

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Usipate tabu na shkamoo zungumza na watu kwa lugha yako tu watakuelewa
Back
Top Bottom