ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

Maamuzi mengine yana madhara makubwa, bora kuwa na subira na kufuata taratibu stahiki. Hapa ICC inaisubiri tanzania. kodi zetu zinasubiriwa
Mkuu kwani shida ipo wapi? Tz imefanga uchunguzi wake imegundua hivyo. Je wakirudia kufanya uchunguzi tz pamoja na hao wachambi madini halafu matokeo ya kaja kama ya uchunguzi wa awali, what will happen?
 
Tatizo ni kukataa ukweli wa rais na kukubali uozo wa acacia kwa sababu tu aliyejibu ni mzungu! Terribly stupid!
Pe
Tatizo ni kukataa ukweli wa rais na kukubali uozo wa acacia kwa sababu tu aliyejibu ni mzungu! Terribly stupid!
Peleka choo kule...kwahiyo kisa Mkuu kasema basi unashabikia kufurahii.Nyumbu kama wewe mtalipa hii fidia. Huna hoja na hujaelewa madai ya Mkurugenzi wa Acacia.Safi sana wakurupukaji kama wewe ni kukung'utwa fine.
 
Hiii ngumu kumeza.dereva kuna sehemu ameruka sharia za barabarani. Au kafunika sakata LA rambaramba nini. Je kwa maamuzi aliyochukua amepitia ripoti yote na kuielewa?
dereva wa lory huwa mshauri wake mkuu ni sdaudi ambae ni 0
 
Hawa ni majizi tu, looters wa natural resources za n3rd world countries. Toka lini mwizi akakubali kuwa ameiba? Waende kuzimu wakachomwe moto.
 
Kwa maana hiyo unatetea tuendelee kuibiwa?
Usiwe na kichwa chepesi,tumia muda kufikiri zaidi. Katika hiyo tume aliyoituma baada ya kumkabidhi mtu mwenye hekima lazima aipitie na kuifanyia upembuzi tena,ndiyo maana kikwete alimtuma warioba na baada ya hapo ikaenda kujadiliwa na lengo lilikuwa ili kupata maamuzi yaliyobora
Kwa maana hiyo unatetea tuendelee kuibiwa?

Kipe kichwa chako muda wa kufikiri kidogo. Dereva akiwa kama mwongoza lory anatakiwa kuyafikiria mawazo ya utingo kabla hajatekeleza. Je amechukua muda gani kupitia hiyo ripoti? Ukae ukijua akiteleza kidogo ni hasara kwa wananchi. Alipaswa baada ya kupokea hiyo ripoti apate muda wa kuipitia na kufanya majadiliano na mwanasheria mkuu ili baadae tusibanwe na mikataba tuliyowekeana. Halafu mbona kamtoa waziri kamwacha naibu,Katibu wakati hao wote wako pamoja? Tra na idara zingine kazigusa gusa. Unapoamua kuua mende huangalii mweupe,mnene au mdogo. Maana yake hapo wizara madini,tra kitengo cha madini na wengine wanahusika.
 
Kwa mtu aliyefanyakazi maabara, huwezi kutishwa na majibu ya aina hii toka ACACIA, it is just rubbish. Nimewajaribu mara nyingi hao SGS anaowatumia kumtetea, they are never accurate na ni wadanganyifu wakubwa sana. Lakini pamoja na hayo, mkataba ni wake na SGS na siyo Serikali. Uhusiano wao na SGS ni wa kibiashara na hatuhitaji kuingilia usahihi wa matokeo yao. Sisi kama TZ tumehakikisha ni hivyo. Containers bado ziko bandarini. Kama hawaamini tunaingia tena maabara ya SGS, madini Dodoma, Mkemia mkuu wa serikali halafu tuone nani anasema kama wao. Hapo ndo mwanzo wa ku deregister SGS. SGS ni wazembe na hawako serious.

Halafu sasa analeta mambo ya PWC! Hiyo ni independent audit firm! Pia ni mteja wao na siyo mteja wa serikali. je, PWC inashirikiana nao ku audit kiwango cha madini? Jibu ni noooo! Inatuhusu nini sisi waTZ.

Huyu mtu anahangaika kusafisha kampuni kwa kuleta facts zote anazozifahamu na kuhisi nasi tunazifahamu, hivyo zimpe support lakini, hazina uhusiano na udanganyifu wao. Mambo ya royalties Rais hakusema hawalipi. Tatizo ni kulipa kidogo kutokana na udanganyifu.

Mwanzo wa yote hayo ni udanganyifu wa maabara, mengine ni bhla-bhla na mbwembwe ambazo sisi kama TZ hatuna sababu ya kushabikia labda kama umeajiliwa Acacia na unaitegemea ili uishi nchi hii bila kujali uhuni wao.
Asante kwa maoni yako na kama na wewe ni mhusika wa maabara kwa kiasi fulani unakila sababu ya kuelimisha jamii. Tatizo kubwa liliko ni umimi na ndiyo chanzo cha haya yote.
 
waTZ vilaza sana haraka haraka wanaamini MANENO matupu ya mzungu na kuupuza ripoti wa kitafiti ya wataalamu wa nchi yao. Ndo maana TRUMP alisema mtawaliwe tena coz hamjitambui vichwa maji sana

mikataba katia mwinyi, kikwetwe na mkapa...mzungu anatetea masilahi ulitegemea angekubali...we dont need more time to rethink about this..enough is enough wewe mzungu na wezako pack your fucking bags and https://jamii.app/JFUserGuide off. if you dont have a place to go call kikwete, mkapa na mwinyi they will assist you...i repeat it again fu---------c-----u
 
WIZI NA HUJUMA INAYOFANANA HA HII YA MCHANGA UPO CHUO CHA UFUNDI ARUSHA. TOFAUTI KIGODO NI KIASI CHA MZUNGUKO WA HELA.INAAMINIKA KWAMBA ZAIDI YA 75% YA MAPATO YOTE YA CHUO HUISHIA MIFUKONI MWA WATENDAJI WAKUBWA WA CHUO HICHO.
 
Mbona siwaelewi ndugu zangu mnajua kweli maana ya neno SOBER? Hii lugha tuwaachie wenyewe, sasa jamaa kakwambia sober naye alifikiri anakutukana na wala si tusi. Rejea kamusi ya kiingereza au google.

go and tell those fake ass white people to https://jamii.app/JFUserGuide off...
 
Akili ndogo siku zote huwa inaona makosa haiwezi ona fursa,wapinzani kitu gani bwana wapinzani wachumia tumbo tu hakuna lolote
Wapinzani wachumia tumbo??? Kwani ndio walitusababishia tuingie mikataba mibovu hivi??? Kwani haya madudu yametokea chini ya rais wa upinzani??? Walioibua haya mambo bungeni hadi wakaomba mikataba ipelekwe bungeni afu mkawazomea ndio wachumia tumbo??? Afu hizo kamati za madini zinazongozwa na wanaccm miaka yote huku taifa likiibiwa na kupitisha miswada ya nishati kwa hati ya dharura na kuea kibao za ndio KWANGU MIMI NDIO WACHUMIA TUMBO!!!!


ccm janga la taifa
 
Mkuu kwani shida ipo wapi? Tz imefanga uchunguzi wake imegundua hivyo. Je wakirudia kufanya uchunguzi tz pamoja na hao wachambi madini halafu matokeo ya kaja kama ya uchunguzi wa awali, what will happen?
Hamna shida ndio watalipa damages zote ikiwemo kufutiwa mkataba maana watakuwa wamekiuka makubaliano as far as kuheshimu mkataba kunahusika!!!!

Till then ndio tutoke povu
 
go and tell those fake ass white people to **** off...
Aseee wakati mikataba mliwapa wao na bado msamaha wa kodi juu afu hao hao wanawadai zaidi ya trillion 40 ya pesa za kigeni na hta bajeti yenu huwa 40% mnawaomba ndio mnasema F**K OFF???? hahhaahhaa sizonje siku akiwa na kiburi hicho ntamuona mwanaume kma mugabe
 
Hats msipokubaliana na kamati yake, Sawa.
Mchanga hautasafiri. Nje ya nchi mpaka kid leweke
Hamna shida hta samaki zilizuiliwa hadi zikagawiwa kwa wananchi ila cku ukweli ulipokuwa wazi mlinyooshwa mahakamani na mzigo wa deni tukalilipa ssi maskini wa nchi hii wakati makosa yamefanywa na mtu ambaye hata mshahara wake hukatwi kodi!!!! Funny
 
Pumb########****f
Matusi ya nni mkuu huwezi jibu kwa staha??? Hoja hujibiwa kwa hoja mpaka mnafkia maelewano ssa matusi yanasaidia nni?? Ndio yatamfanya aelewa hoja yako ama siku hizi hoja kinzani ni kosa la jinai
 
Kwasasa mahakama si za wachumia tumbo.
Achana na ule mpango wa mahakama za wachumia tumbo
 
Wapinzani wachumia tumbo??? Kwani ndio walitusababishia tuingie mikataba mibovu hivi??? Kwani haya madudu yametokea chini ya rais wa upinzani??? Walioibua haya mambo bungeni hadi wakaomba mikataba ipelekwe bungeni afu mkawazomea ndio wachumia tumbo??? Afu hizo kamati za madini zinazongozwa na wanaccm miaka yote huku taifa likiibiwa na kupitisha miswada ya nishati kwa hati ya dharura na kuea kibao za ndio KWANGU MIMI NDIO WACHUMIA TUMBO!!!!


ccm janga la taifa
Hivi mnapozungumzia wapizani ni kina nani. Ni lowassa, masha, sumaye, kingunge au nani? Mi sielewi, hivi mfano lowassa angechaguliwa kuwa rais ndio tungekuwa tumechagua upinzani? Kama ccm waliingia kwenye mikataba mibovu, je lowassa, masha, sumaye na kingunge hawakuwepo? Au hii mikataba mibovu ilisainiwa wakati hawa washaondoka? Hebu tutumieni akili zetu hata kidogo tu tuliopewa na Mungu.
 
MD yoyote yule duniani lazima aseme hivyo ili kupunguza ukali wa upepo, pia kulinda stoke level ya ACACIA kwenye global market ambayo baada tu ta hiyo presentation ya Kamati iliporomoka.

MD asiwe na wasiwasi container zipo na zinaweza kuchunguzwa tena kuthibitisha. Sina wasiwasi kama zinaweza kuwa tempered as long as Magu yupo magogoni.

Hawa wameshanashwa, na ikithibitika itabidi wailipe Tanzania miaka yote wamekuwa operational maana MDA yaani mkataba wa kuchimba utakuwa void .

Kamati haiwezi kutoa data wasizokuwa na uhakika nazo. Watanzania tutulie mziki ndo ushaanza huu.
 
Back
Top Bottom