Usivae kama huyo siyo chaguo lako, kuvaa share ina kubwa kwenye mahusiano, haivalini tu ili mradi mpendeze bali unaijulisha jamii inayowazunguka kwamba nyinyi mapenzi yenu ni kitu kimoja
Ukiendekeza mambo ya wanawake utakuwa zuzu wewe endelea na majukumu yako kama kawaida yeye aendelee kujifungia akichoka atatoka tu mwenyewe ila ukimbembeleza atajua huo ndio udhaifu wako utautumia kukutesa
tatizo waumini wengi huwa hamjui tungo tata,,,hapo padre alikuwa akimaanisha wenye vikwazo vya kiroho ambavyo wao wenyewe wameshindwa kuvitatua na kuwa sawa na vichaa,matahira nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.