Hujui unachoandika kaka , unaandika jumbe ndeefu hamna point , na sidhani kama unauelewa vizuri huo mfumo wa heliocentric unaoutetea , usiandike tu vitu usivovijua
Okay hapa swala sio kuamini au imani, swala ni kujua kitu kwa uhakika , unaweza kuamini jambo bila kuwa na uhakika nalo ,, unaweza kuamini jambo au maudhui fulani na yakawa kweli kwa upeo wako ingawa hayaendani na uhalisia, lakini haimaanishi kwamba hayo mambo unayo amini yana uhakika na ukweli...
Hakuna binadamu anayeweza kutoka nje ya dunia , binadamu akienda mbali sana anafika low earth orbit ambayo bado ni ndani ya anga la dunia , kitu unachotakiwa kufahamu ni kwamba anga la dunia au Firmament ni kitu physical na hiyo inathibitisha kazi ya Muumbaji ,
Baada ya kujibu swali unaongeza swali , mwezi na dunia ni vitu viwili tofauti vinavyo fanya kazi pamoja ,,, yani ni kama unajaribu kusema kwa sababu keki ina ngano kwanini andazi lisiwe keki , think twice
TIG
Kwanza kabisa umesema kwamba the Bible is very clear about the earth being a sphere kitu ambacho ni uwongo
Isaiah chapter 40 verse 22 inasema
"22.He sits enthroned above the circle of the earth,
and its people are like grasshoppers.
He stretches out the heavens like a canopy,
and spreads...
kuna jamaa anadai aliona watu wanne wameshika usinga mwekundu wamevaa kaniki wanamkimbiza mtoto pia anadai kuona watoto wadogo misukule wamevalishwa kaniki,,, lakin anayo yaona anona yeye kuna mambo mengi mshkaji anadai kuona mara kadhaa
vipi hapo mshana
haha we jamaa umenichekesha sana so wewe unadhani maji ya dunia yanaganda kama kwenye kalalmu ,,,yani kwamba maji ya bahari zote na maziwa yote alaf kama ulivo soma kuna mtu kasema anaishi makete na analiona ziwa nyasa ambalo lipo 70 kms away na kumbuka curveture inaanza kuonekana after every...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.