Recent content by machafuko jr

  1. machafuko jr

    Wanaosema uchawi uko Afrika tu wanahitaji kuelimishwa zaidi

    Mkuu na mimi nataka nijue kidogo japo tu nimloge x wangu arudi Tena. Nipe hata muongozo au kitabu kipi nisome au nipractic waubani wangu arudi
  2. machafuko jr

    Wanaosema uchawi uko Afrika tu wanahitaji kuelimishwa zaidi

    Mkuu bila shaka unaona movie sana ww
  3. machafuko jr

    JWTZ na Migambo wadaiwa kufyeka Mahindi Orgosorok/Loliondo wakitekeleza Amri ya Mkuu wa Wilaya

    Ndo maana watu wanalogwa hivi hivi. Kwani hapo wangeacha mtu avune mahindi yake wangepungukiwa nini
  4. machafuko jr

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Usioe mwanamke mwenye shobo au mwenye kutaka urafiki na Kila mtu maana hamna namna atapigwa pumbu Kisa shobo zake
  5. machafuko jr

    KERO Hivi inakuaje maji hayatoki na bili ipo pale pale. DAWASA acheni michezo

    Imagine naenda kibaruani na jasho la Jana kisa maji hamna na bili inakuja kama ya mwezi ulo pita. Aisee Hawa watu wana roho mbaya
  6. machafuko jr

    KERO Hivi inakuaje maji hayatoki na bili ipo pale pale. DAWASA acheni michezo

    MAshaka yangu hao machawa ndo wanamgombanisha mama Yao na wananchi mana Hawamwambii ukweli
  7. machafuko jr

    KERO Hivi inakuaje maji hayatoki na bili ipo pale pale. DAWASA acheni michezo

    Inakera sana yaani dawasa imekuwa kama kichaka cha matapeli walio halalishwa
Back
Top Bottom