Recent content by machafuko jr

  1. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Mgodi unauzwa ekari 60,u po Msata, bei ni dollar milioni 2

    njoo pm nina dola mill 1.3
  2. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Mbona Stori ya Tanzania kupewa Bilioni 2.6 na Marekani imeripotiwa sana. Kuna nini?

    hizo billion mbili hata yule jamaaa wa katoro anazo. hivi serikali inakuaje inatudhalilisha namna hiii pesa ndogo kama hiyo kuna ulazima gani ndo iwe kama habari
  3. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Aende degree ipi kati ya hizi: Civil, Mechanical, Electrical, Mineral au Data Science? Matokeo yake ni GPA 1.6 (PCM)

    akasome automobile engineer nakuhakikishia bongo kuna magari kibao na mafundi ni wachache sana. hato jutia
  4. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Tunakula saa ngapi?

    endelea kusubiri supu ya mawe
  5. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Mlioko Dar naombeni muongozo. Maisha yakoje huko?

    mjini msingi ni kiuno
  6. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Hapo vipi?

    wapunguze maji kwenye mtumbwi watazama
  7. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Nini Hupelekea Ndoa Nyingi Kuvunjika Ama Mahusiano?

    Hiyo ni sababu ya pili mkuu.
  8. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Nini Hupelekea Ndoa Nyingi Kuvunjika Ama Mahusiano?

    Pesa ba mnyogode
  9. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Duuuh noma kweli kweli
  10. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Unalipwaga bei gani mkuu maana sio kwa kutetea Kila kitu
  11. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mkuu umaarufu ni muhimu sana kwa position aliyo kuwa nayo yeye. Kuna ile hata kama huna smartphone ila habari za raisi lazima uzisikie
  12. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mkuu inamaana mwanzo alikuwa anagawa pesa
Back
Top Bottom