Recent content by machafuko jr

  1. machafuko jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini Hupelekea Ndoa Nyingi Kuvunjika Ama Mahusiano?

    Hiyo ni sababu ya pili mkuu.
  2. machafuko jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini Hupelekea Ndoa Nyingi Kuvunjika Ama Mahusiano?

    Pesa ba mnyogode
  3. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Duuuh noma kweli kweli
  4. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Unalipwaga bei gani mkuu maana sio kwa kutetea Kila kitu
  5. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mkuu umaarufu ni muhimu sana kwa position aliyo kuwa nayo yeye. Kuna ile hata kama huna smartphone ila habari za raisi lazima uzisikie
  6. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mkuu inamaana mwanzo alikuwa anagawa pesa
  7. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Mkuu lakini mtaani hasikiki sana Kuna ile hata kama mtu huna smartphone lkn habari za raisi lzm utasikia tu lakini ni kama saiv yupo kimya sana
  8. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Wakuu habarini za uzima. Niende moja kwa moja kwenye mada hivi mbona kama umaarufu wa raisi umepungua yaan raisi wetu hasikiki sana kama ilivo kuwa mwanzo. Ma inside man Kuna Nini kinaendelea au ni hisia zangu tu?
  9. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Uko kwenye upande wa barabara usiosahihi, RUDI NYUMA

    Mkuu yaan Hawa mapolice wenye mentally ya kikoloni uwafanyie Ivo na uwarekodi, mkuu hapo utaiva sijawahi ona
  10. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Uko kwenye upande wa barabara usiosahihi, RUDI NYUMA

    Tz Kuna mtu anajeuli kama hii?
  11. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Wapya VETA: Miezi 2 Bila Kazi Wala Mshahara

    Kazi kweli kweli
  12. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Ni ipi kazi ya vyama vya wafanyakazi, kama kwa mfumuko wa bei hivi sasa hakuna chama chochote kimetoa kauli kutetea maboresho ya mishahara?

    Viongozi wa hivyo vyama wote wamewekwa na dola. Niamini mimi huto sikia yeyote ananyanyua bakuli lake na kukemeaa chochote
  13. machafuko jr

    JamiiForums Tanzania Kibaha: Wanaodaiwa kuwa ni Polisi wavamia usiku wa manane na kuwakamata wananchi, watatu hawajulikani walipo

    Watawala wa nchi hii ndo hawataki watu smart. Yaan nchi inaendeshwa kibabiloni
Back
Top Bottom