Usiangalie upande mmoja. Wanaume je. Hawagawi? Na kama wanagawa, je. Wanakumbuka kuwa wake zao wanaumia wakijua? Kila mmoja anamoyo na kama kuumia wote wanaumia. Huduma umpazo hazigharamii maumivu ayapatayo mkeo akijua kama unawapa wengine.
Acha kudumaza akili yako. Mikutano hiyo wanaingia wanaojua kingereza tu? Kikao kilicho na tija kwa taifa na kikao cha kuuza sura tu anavijua mwenyewe. Alokuwa na bidii ya kuvihudhuria bado hakutufikisha tunapopataka.
Chacharika watoto wale. Ukiwa na ya kukuweka busy utawaza mambo muhimu tu.
Kama kujua kiingereza ndo kusoma, ina maana wachina, wajapana, wakorea wajerumani na mataifa mengine Ambayo hawaongei kiingereza hawajasoma? Mbona wameendelea kuliko hata sisi tuanotumia nguvu nyingi kulazimisha kujua kiingereza?
Badala ya kudeal na maendeleo ya kiuchumi tunakomalia kujua...
Wamelikusudia ambao ndo wenye biashara wamekubali. Ingekuwa hasara wangekataa.
Hapo ni sawa na mtu anapotaka kuanza biashara a kamuuliza mfanyabiashara kama inalipa, Siku zote mnajibiwa biashara hakuna au ni hasara tu. Sasa kama ni hasara kwa nini hawaachi? Au mbona tunaona mambo yao yananda...
UJUMBE: kwa wale wenye tabia ya kuchonokoa simu za wenzi wao watambue kuwa watakutana na meseji nzuri zaidi ya hiyo!
Hivi wewe kuchukua simu ya mwenza wako, si unatafuta BP za haraka haraka ufe na mwenzako abaki anatesa!!!
Kujua siri zake si kutatua tatizo. Na hata ukimfunga kamba bado...
Huduma zote mnawapa za kuridhisha?
Tatizo mmefanya lawama kwa wanawake kuwa sifa.
Unakuta Jamaa nyumbani hatimizi wajibu wake ipasavyo lakini akija JF analalamika na kujifunya yake yote anatimiza.
Hata ambaye anakwenda kama kuku akija huku anajisifu eti anahudumia. Mnatudanganya sababu hatuoni...
Inaonekana kuanzia mwanzo mwanamke unamchukulia kama kiumbe kisicho na moyo ndo sababu hukuona wala kuthamini mchango wa huyo mchumba kwako.
Na kwa maana hiyo hata ukioa utatumia kila ushauri unaopewa na watu wa nje ya familia yako. Kuwa mwangalifu kuanzia sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.