Acha kuleta siasa kwenye afya za watu. Hizi siasa peleka huko kwenye miamala ya simu na siyo kwenye suala linalogusa miili ya watu. Kabla ya Gwajima kuleta tafiti zake, serikali ndiyo ilipaswa kuja na scientific research evidence kwamba hizo chanjo ni salama.
Aliyeanza kutugawa ni Samia ambaye amejifanya kama hakuwa kwenye serikali ya Magu. Lakini pia hao unaowaita wataalamu wetu hebu tupe uthibitisho ni lini na wapi walifanya utafiti na kuona hizo chanjo zipo salama?
Ziko wapi scientific research zao zinazonesha chanjo inayogusa DNA/RNA ipo salama...
Wapinzani fanyeni siasa kwenye majimbo yenu. Wenzenu CCM wanapita kwenye sehemu zao za kiutawala
Chadema nendeni Nkasi Kaskazini
Cuf nendeni Mtwara Vijijini
ACT nendeni Zanizibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.