Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 287
- 279
Miezi kadhaa sasa kumekuwa na tatizo la kuchelewesha kusambaza Umeme. Kwa maana unakuta wanaweka nguzo, lkn kuja kuweka nyaya za umeme inaweza kuchukua miezi hata minne.
Haitatosha kuja kufunga na kuwasha generator yaweza kuchukua miezi mitatu na zaidi.
Pia kuja kuja kukagua, kutoa control number yaweza kuchukua miezi si Chini ya mitano. Wananchi wakipewa control number anaamini muda si mrefu ataunganishiwa umeme kwenye nyumba yake, lkn aweza kusubiri miezi mingine kadhaa hata zaidi ya mitatu minne.
Yaani kwa maneno mengine, zoezi la kuunganishwa umeme linachukua zaidi ya mwaka na nusu, karibia miaka miwili! Hii ni kutokuwa serious
Lkn mbaya zaidi siku za hivi karibuni kuna maeneo watu wakionyesha nia ya kutoa chochote, wanashughulikiwa haraka na kuwashiwa umeme.
Au mtu binafsi akitoa chochote anawashiwa umeme huku wengine mkirndelea kusubiri miezi na miezi.
Huduma hii ni kama siku za hivi karibuni inafanya makususudi kuchelewesha kusambaza Umeme ili watu watoe pesa.
Kuna harufu ya rushwa huko!
Haitatosha kuja kufunga na kuwasha generator yaweza kuchukua miezi mitatu na zaidi.
Pia kuja kuja kukagua, kutoa control number yaweza kuchukua miezi si Chini ya mitano. Wananchi wakipewa control number anaamini muda si mrefu ataunganishiwa umeme kwenye nyumba yake, lkn aweza kusubiri miezi mingine kadhaa hata zaidi ya mitatu minne.
Yaani kwa maneno mengine, zoezi la kuunganishwa umeme linachukua zaidi ya mwaka na nusu, karibia miaka miwili! Hii ni kutokuwa serious
Lkn mbaya zaidi siku za hivi karibuni kuna maeneo watu wakionyesha nia ya kutoa chochote, wanashughulikiwa haraka na kuwashiwa umeme.
Au mtu binafsi akitoa chochote anawashiwa umeme huku wengine mkirndelea kusubiri miezi na miezi.
Huduma hii ni kama siku za hivi karibuni inafanya makususudi kuchelewesha kusambaza Umeme ili watu watoe pesa.
Kuna harufu ya rushwa huko!