Bomoa bomoa inapita mitahani watu wanashangilia watu kuweni na ubinadamu wa kawaida tu kuwaonea wengine huruma kama vile wewe ndiyo unafanyiwa hayo ukiunga mkono hayo ccm maana yake unakubaliana na yanayofanyika.
Na kwa kipindi hiki nchini kenya wanaanza kampeni za uchaguzi mkuu mwezi agost na wenzetu wanakuwa na vurugu za ukweli wote wa naingia front. Kwa hiyo alichokiongea Mwenyekiti wa CHADEMA kina mashiko
wale watu waliotoka kwenye hule mlima mrefu wamehamia chuga kule kwenye mlima aslimia kubwa ni wazee wako huko na walikoahamia ni Arusha kwa hiyo ni sawa na Juma kumwita Bwana Juma kwa hiyo nitaifa la Mungu.Mungu amewapa vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.