Kama naiona ile njia ya kule kwetu Bumbuli kutoka soni, na isivyo na lami sasa since enzi za mkoloni...ni kwa neema tu.
Apo nikiwa napandisha zangu bumbuli noah aitak kutupisha anaogopa ataanguka
Hii njia inamaana imegoma kuwekwa lami?!!! Mbona miaka mingi hivyo, hata kama serikali haina hela kwa ajili ya hio njia lakini, something needs to be done.Apo nikiwa napandisha zangu bumbuli noah aitak kutupisha anaogopa ataanguka
Unietee magoghwe umbujeApo nikiwa napandisha zangu bumbuli noah aitak kutupisha anaogopa ataanguka
Mkuu niliishia tu hapo soni, duuhhh hiyo barabara kutoka mombo ni balaaKama naiona ile njia ya kule kwetu Bumbuli kutoka soni, na isivyo na lami sasa since enzi za mkoloni...ni kwa neema tu.
Nietea vyoshe hambuze umbujeNa ndeema na unkobo
Hio lami iliwekwa na JBGHii barabara waliitengeneza wakati fulani toka Mombo mpaka Soni kuanzia Soni kwenda Lushoto ilikuwa nzuri kiasi chake. Lushoto kuzuri sana barabara tu ndio shida.