Jamani napenda kujitokeza hadharani tena peupee na kukiri mbele yenu kabisa kuwa,mimi ni mwanafunzi wa Kidato cha Tatu niliyefaulu kwa Mbinde lakn mwaka huu umekuwa wa neema kwangu.Nimeingia F3 kwa alama ya F lakini kichwani hazimo kabisa.JE NITAKAPOFIKA F4 NITAFAULU KWELI?
Serikali inawadharirisha walimu kwa kuwabeba wanafunzi wa kidato cha pili 2013 waliofeli.Taifa hili linaelekea kuzimu.Ndiyo maana Mawaziri wetu hawajui hata Neno TANZANIA LIMETOKANA NA NINI.Kamwe nchi yenye mazoba haitaendelea.
Serikali imeagiza wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Pili mwaka 2013 na kushindwa,waendelee na masomo yao yaani hawatakariri wapewe Muda maalum wa kunolewa [REMIDIAL CLASS].
JANA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA ILITOA MAAMUZI YA KUIOMBA KAMATI KUU ISIJADILI SWALA LA ZITTO HADI BARAZA KUU LA CDM LITAKAPOSIKILIZA RUFAA YAKE.JE HILO BARAZA KUU LINA MENO GANI MAKALI au NGUVU GANI KWA ZITTO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.