CHADEMA Bunda.

CHADEMA Bunda.

Kama wamekosa Mgombea wamweke hata Mganga wa kienyeji coz wanapenda kutumia waganga wa Kienyeji.
 
Nafurahi kusikia ni habari nzuri kwangu. Ndo naelekea kwenye mkesha wa mwaka mpya, najua ni mwaka wa mafanikio.
 
pendekeza kaburi liwe wapi?

kaburi litakuwa dodoma pale chimwaga ambapo Lowasa, Membe, Sitta, makamba jr, migiro na salim salim watakuwa watumbukizaj maiti kaburin. pole CCM.
 
Msalani na Ifweero mnacheki chama chenu cha mizigo kinavyohangaika kuelekea kaburini?
 
Kamanda yatendee haki maji yangu pendwa na ninakunywa muda huu, ccm haifai kuthaminishwa hata na kopo la maji ya kilimanjaro, labda ccm na jiwe. Tunashukuru kwa operation zao za kutokomeza raia maana watanzania na hasa wa vijijini wagumu kuelewa elimu ya uraia, zaidi zaidi mpaka waguswe moja kwa moja na ma-operetion ya kuwatokomeza ndio wanaelewa ccm ni kaburu wa aina gani............

pole kamanda acha niweke ka sim ka mchina na ccm. hapa sombetini tunashinda kwa kishindo ka sim ndo diwani kuliko mtu wa ccm hata aje mkapa.......hapa kuna kura za cdm tu .....dadadazeki zao..
 
Kama wamekosa Mgombea wamweke hata Mganga wa kienyeji coz wanapenda kutumia waganga wa Kienyeji.

waganga wote wamekimbia huku hata magari yao ya ccm yakija huku yanakuja bila bendera hakika hali ni tete..... ccm hoyeeeeeeeeeee
 
Maccm yako busy kupanga safu ya wabunge maalumu la katiba ili wachakachue rasimu ya warioba hasa kwenye muundo wa muungano!
 
Mbunge wangu kweli alisalimika operation tokomeza ujangili manake nackia walikuwa wanaua mpaka wanyama.
 
Superman Nchemba bado hajatokea kuokoa jahazi? Si unajua ana dream team yake inayojumuisha Tesha, shonza na mwampamba.
 
Kuna dalili za wazi CHADEMA Bunda kupita bila kupingwa katika uchaguzi mdogo kata Nyasura nasema hivyo kuwa sababu nipo Bunda kwa sasa hivi na CCM hawajapata mgombea hata vyama vingine navyo pia.

hii nikuwa mjibu wa kamati ya siasa ccm wilaya ya Bunda.

Jitahidini wasitafute mtu wa kumnunua maana wanaweza kununua hata mwehu ili kuondoa aibu ya kupita bila kupingwa
 
Back
Top Bottom