Recent content by Mabange

  1. Mabange

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ubora wa Singida Big Stars utaiaibisha Simba SC kwa Mkapa

    Zi aziza mautamuuu njoo ukalie
  2. Mabange

    JamiiForums Tanzania Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

    Kakaa waarabu wamebarikiwa utajiri ila kikwetukwetu benz ni expensive bwana shida sio kununua shida ni kuimantain, no cheap spares no cheap servis au utaipaki mazima
  3. Mabange

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kuvuta bangi?

    Kama wewe ni jobless huna hata dem na bangi huvuti utakua confused zaidi..pia kama wewe ni tajiri na una kila kitu then unahitaji wisdom kutoka kwa mmea.
  4. Mabange

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kuvuta bangi?

    Kuna kipindi katika maisha nilikua homeless alafu nchi za watu baridi kama lote kitu cha bange kilinipitisha kipindi kigumu sana maana watu walikua wanakufa na baridi lakini muhuni nikisha piga vitu vyangu napoa freshi...nitaiheshimu bangi forever japo sijuhizi stumii kulingana na mazingira
  5. Mabange

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hapendi ndugu zangu

    Wanaume wachache sana wenye hizo mambo za kuchukia ndugu wa ukweni tena mwanafunzi atleast angekua hana ramani yupoyupo tu, mi nadhani huyo shemeji yetu aliomba mchezo akanyimwa jaribu kufatilia kiundani.
  6. Mabange

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uhusiano kati ya tohara na upungufu wa nguvu za kiume na hatari ya maambukizi ya VVU?

    Vijijini sikuizi kuna ngoma sana bora mjini..huwa nawashangaa sana watu wanaoagiza mke kutoka kijijini, vijijini wanafanya ngono zembe kwa kasi kuliko mijini na ukimwi ni kugusa tu acha kudanganya umma
  7. Mabange

    JamiiForums Tanzania Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

    Wewe ndio unafata mkumbo wa ubishi, tako la nyani ni gari luxury sana tu kulingana na bei yake, tatizo lake ni nyepesi zinapata ajari sana hasa kwa walevi, engine haina nguvu kiukweli inazidiwa kila kitu na vanguard ila ni nzuri kwa mwonekano na ndiomaana imeuza sana sio bongo tu harrier inauza...
  8. Mabange

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji mwenyeji USA jimbo lolote ila Texas ni much preferable

    Haha hapana bobu nchi za watu watu wako busy huwezi simamisha demu humjui kama bongo its either kazini au sehem za starehe au dating sites, ila sio tinder bongo maana utakutana na malaya tu.
  9. Mabange

    JamiiForums Tanzania Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

    Sijabisha kuhusu luxurious, crown ni luxury car ila harrier hiyo ni SUV maanake ni confortable kwaajili ya kubeba watu,mizigo na offroad. So kuzicompare hizi gari ni kosa kubwa inatakiwa ulinganishe bmw 320I na crown au benz c class na crown. Harrier linganisha na cluger au other SUV cars.
  10. Mabange

    JamiiForums Tanzania Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

    Huyu jamaa muongomuongo tu gari yenyewe kapewa test drive tu tayari anajifanya analijuaaa sasa utalinganisha vp saloon car na SUV offcoz saloon cars zilitengenezwa luxurious zaidi ya SUV lakini upande wa design tako la nyani ni zuri na heshima pia. Sasa speed120 ulikua unakimbilia wapi hatuko...
  11. Mabange

    JamiiForums Tanzania Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

    Wewe acha afax unataka gari la peke yako katengeneze mwenyewe
  12. Mabange

    JamiiForums Tanzania Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

    Vita ya kijinga hii two different type of cars
  13. Mabange

    JamiiForums Tanzania Unaelewa nini kuhusu Land Rover freelander 2?

    Kama hela ipo nunua tu hakuna gari mbaya ni umate tu uwepo
  14. Mabange

    JamiiForums Tanzania Msaada: Anataka kununua eneo aanze kuchimba Dhahabu

    Anaonekana yuko vizuri basi ni vyema angefanya consultation na kampuni za utafiti wa madini watampa mawazo mazuri, pia afanye exploration na drilling apate uhakika wa mali iliyopo chini gharama za exploration na drilling sio chini ya 50mil so ajipange ila zitarudi.
  15. Mabange

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kama huyu namuwezaje?

    Endelea kuongeya naye🤣
Back
Top Bottom