Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Kwanza kibunda kipo mwaisa???
Matukio yanatofautiana mengine ya kujitakia mfano mmakonde hana mipango anadandia pisi za mjiniHao wakina Daimond na Harmo pamoja na mikwanja yao lakini bado wanapigwa na matukio kila siku
Nimemshangaa sanaSerious mtu unakaa unasubiri jibu? Utoto raha sana
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app

Unamuita dem hata maji umnunulii ety ehh.Mwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana
Lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka kwake ndio maana mpaka leo na pambana kumpata
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi.
Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Agngemkataa? au wewe uwezi wapa? yani utawazungusha ?Hao wakina Daimond na Harmo pamoja na mikwanja yao lakini bado wanapigwa na matukio kila siku
Endelea kuongeya naye🤣Mwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana
Lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka kwake ndio maana mpaka leo na pambana kumpata
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi.
Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
We muha eeeh auMwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana
Lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka kwake ndio maana mpaka leo na pambana kumpata
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi.
Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba huyu hapaaaaaa....afuate hapaaaaDemu kama uyo jitahidi mazingira yawe faragha kidogo kusiwe na complication ya watu by then ukiwa unaongea nae make sure distance yako na yake ni ile ya anything can happen then katika kuongea kwenu jitahidi uwezavyo sometime umshike mikono yake halafu uwe unaipapasa fulani ila tu usizidishe mzee ni amaizing sana hawez kuruka kikubwa zaidi ni Confindence yako lazima awe fascinated
Kudadeki kuna.mwamba anamkula wewe ni spare tyreMwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana
Lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka kwake ndio maana mpaka leo na pambana kumpata
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi.
Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamati ya wanaume imeanza kwa Kasi ya 5g mwaka huuHuyo huna haja ya kubembeleza mchukue siku moja mtoe sehemu mkale alafu mpige na vyombo vya kutosha na kwenye mazungumzo usiweke chochote cha mapenzi wala usielezee sana maisha yako mkimaliza kamata kuku yako kaitafune alaf kata mazoea utaona atakavyoanza kushoboka na ww hapo ndipo unampiga mkuyenge mpka anajuta alaf unatemana nae
Tena Kadi iwe fakeMpe kadi ya Harusi Yako, achangie ndoa, ndio akili zitamkaa