Ninaomba mawazo yenu kwa masuali yafuatayo . 1. Je mkoa gani kanda ya ziwa mzuli wa kuanzisha kiwanda cha ngozi za mifugo? 2. Je kama nikianzisha soko la malighafi zitokanazo na mifugo likoje kanda ya ziwa? 3. Je kuna taasisi za fedha...
Kwa hapo sasa wanaotukana humu wataanza kupwaya maana walishazoea copy and paste za Tindu lisu ambapo ukimpeleka kwenye analysis anatoka ziro na anashindwa kutetea
Mwaka juzi bungeni Mbowe alionekana mdaiwa sugu wa NSSF na akawa anakwepa kulipa mpaka ikazungumziwa bungeni, na akakimbilia kujitetea leo mdaiwa sugu wa NHC, Mimi naona ni vyema ulipe madeni ndio utuletee habari za ukuta.
Mmi navyojua tanzania anaeongoza kw Kukwepa kodi ni FREEMAN AIKAEL MBOWE, Bado TRA watakuja na list ya makampuni yaliyoingiza mizigo kutoka nje ya nchi wakiwa wamekwepa kodi.La mbowe limo...N hapo ndio mtagundua kuwa mbowe anajitahidi kuongea saana ili aachwe kwa sababu anadaiwa,Mbowe unatafuta...
Wewe muongo ,wewe Sio kada wa CCM ,Bado wewe ni pandikizi mbona tunakujua saana?
Umeandika unaponda kama unaamini watanzania wako hivyo nenda kaungane nao wapinzani uandamanane.. Dont Cheat arround the bush
Wanaccm waliopiga kura walikuwa million 8.6, jumala waliojiandikisha ni 8.9, Wanachama wa Ukawa waliopiga kura walikuwa million 5.7 waliojiandikisha jumla walikuwa Million 6 , Je hiyo asilimia sititini na mbili umeipata wapi? Acha kudanganya watanzania ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.