ARUSHA: Mwisho wa kutembea saa nne Usiku

ARUSHA: Mwisho wa kutembea saa nne Usiku

Hana mamlaka ya kutoa kauli kama hiyo, amekurupuka lakini tusisahau kwamba tuko kwenye zama za kukurupuka anajua atatoa kauli kama hii na hakuna atayemkaripia huyu kwa kutoa kauli ambayo hastahili kuitoa. Mwenye kustahili kuitoa kauli hii ni Magufuli na lazima atangaze sababu za kuweka curfew, au huyu DC labda kapata kibali kutoka Ikulu cha kuzuia watu kuwepo barabarani baada ya saa nne za usiku.

Shukran NBA corespondent...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii ni reflection ya jinsi gani taifa letu kupitia awamu ya tano limeingiliwa na aina ya watu primitive ambao bahati mbaya wamepewa madaraka.
Kimsingi tunarudi nyuma kwa kasi ya hali ya juu mno. Hawa watu upeo wao hauzidi urefu wa pua zao.
Mtaelewa tu mlizoea vya dezo na kuleana leana kijinga jinga kwa wale ambao kufuata taratibu kwao ni shida lazima waone serikali inaendeshwa ndivyo sivyo ila kwa sisis tuliozoea kufuta sheria bila shuruti maisha yako tambarare mno
 
Mtaelewa tu mlizoea vya dezo na kuleana leana kijinga jinga kwa wale ambao kufuata taratibu kwao ni shida lazima waone serikali inaendeshwa ndivyo sivyo ila kwa sisis tuliozoea kufuta sheria bila shuruti maisha yako tambarare mno
Kwa hiyo unaunga mkono amri hiyo?

Kaka ...
 
Pia nasikia watumishi wa umma wametangaziwa/lazimishwa kwenda kukesha kwenye mwenge huko Meru.
Mungu wangu haka ka nchi!!!!!!
 
mihemko ya viongozi wetu wa awamu sijui kama tutafika salama
 
Acheni uongo na nackutukana hao Viongozi,Vijana hamuleti hoja maaana mmeishia na kauli za matusi matusi tu,KWELI MFA MAJI HAISHI KUTAPATAPA
 
Mtaelewa tu mlizoea vya dezo na kuleana leana kijinga jinga kwa wale ambao kufuata taratibu kwao ni shida lazima waone serikali inaendeshwa ndivyo sivyo ila kwa sisis tuliozoea kufuta sheria bila shuruti maisha yako tambarare mno
Your incapacity to reason bears testimony to the inferiority of your intellect, assuming you have any of it.
Utaratibu au sheria ipi iliyotungwa inayotamka kwamba hapo mahala husika watu kutembea mwisho saa nne usiku?
 
Wakuu,

Nilibahatika kwenda kwenye mkutano leo nikamsikia mkuu wa wilaya ya Arumeru akisema mwisho wa kutembea ni saa nne usiku. Yaani mpaka kufikia saa tano asionekane raia yeyote zaidi ya askari polisi.

Huku akimsisitiza mkuu wa polisi "nadhani umenielewa" Hii imekaaje kihaki za raia wadau.


Uhali wa ile kitu ndani ya UKUTA kama kweli hilo agizo litatekelezwa.
 
Amri hizo zinatolewa panapokua na hali ya hatari..
Labda mkuu wa wilaya angetangaza sababu ya kufikia uamuzi huo...
Vp wale wasafiri wanaofika kwenye miji yao juu ya saa nne usiku ?
 
Wangesema tu saa 18:00 iwe mwisho,maana askari wa mbagala wameuawa saa 19:30 pm.hii nchi mpaka miaka 5 iishe tutakuwa kama drc
 
UKUTA utaanza asubuhi mpaka saa 12 joni na tutapata muda wa kumpumzika mpaka saa 3:59 tukiranda huku na kule kwa maandalizi ya kesho yake na tutakwenda kulala kwa upande wa arumeru.
#NikoTayariKwaUKUTA sep 1.
 
Why cant we roam
This open country
Why cant we be what we wanna be
We want to be free
10 oclock, Road block
Curfew

You fool some people sometimes
But you can't fool all the people all the time
And now we see the light
We gonna stand up for our rights
 
Back
Top Bottom