Its true that wonders does never end but not of that kind. Huyo bibi ana lake jambo. Kama alibakwa mbona hakutoa taarifa zozote? Huyo bibi mwongo wa kutupwa. Amezoea umalaya na ndio maana hajaolewa.
Kuna mawili, Moja Story inawezakuwa ya uongo ama ni kweli umehusika. Kama ni uongo subiri ajifungue mwende kwenye vipimo (DNA), Kama story ni ya kutunga, njanja giza na uongo wako
Weye nawe! Kuna mtu ameshikwa mkono akaandamane? Mwenye kuandamana ni anayejua haki zake. Kwishneiiiiii! Hujui haki zako waache wanaojua na ukae kimya.
CCM wanakusaidia nini? Elimu mnapata bure? Huduma za afya je? Unataka Chadema wakupe nini? Au mavazi? Inaonekana umezoea tisheti, kofia na kanga za bure. Chadema hatutoi hongo.
Kwa mawazo yako unataka kutuambia kuwa hao watu 60,000 wangejitokeza kupiga kura sisiem ndo wangeshinda? Kwa taarifa yako ingekula kwao fulmazinonda. Sisiem si kitu kwa CDM Arusha. Ila mfa maji haachi kutapatapa.
Wakuu na waunga mkono asilimia zote Chongoja ni mwongo na inaonesha dhahiri kuwa wanajua kuhusu mlipuko wa bomu n they are concerned. Peoples! Peoples! Chadema juu zaidi. Ccm chacha basi tumewachoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.