Recent content by Maarko

  1. Maarko

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kwa anayejua anipe elimu ya pombe Kali...kwa mfano.. WHISKEY:,inaanzia volume alcohol ngapi, GIN:inaanzia ngapi mpaka ngapi BRAND: inaanzia V ngapi mpaka ngapi... Na nyinginezo.
  2. Maarko

    Askofu Bagonza: Rushwa imesababisha Bandari ifanyiwe kinachofanyika

    Wanadamu wenye akili ndogo (Kama wewe) humshambulia mtu badala ya kushambulia HOJA. Unaleta vioja kwenye Mambo ya msingi badala ya kujibu HOJA.
  3. Maarko

    Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

    NAKUSHAURI HATA HUYO MWINGINE UKAMPIME DNA PIA,DUNIA INA MAAJABU MENGI,
  4. Maarko

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Mechi saa ngapi leo?
  5. Maarko

    Rais Samia amualika nabii mkuu Geodavie Ikulu ndogo ya Arusha na kumpongeza

    Mtoa Mada alikua na Hoja nzuri,Ila wachangiaji kwa kujua au kutokujua mkaivuruga kwa kuruhusu hisia na tafsiri pamoja na mihemko za KIDINI kuvuruga.
  6. Maarko

    Luhaga Mpina: Katiba iliyopo ina matobo ndio maana Viongozi kama Waziri wa Fedha wanalichezea Bunge. Viongozi wasiteuliwe bali wafanyiwe Usaili

    Akiwa nje ya Box ndio anaona hayo,alipokua ndani ya system aliwahi kudai hivyo?!! Huyo ndiye aliyepima "SAMAKI KWA RULA"
  7. Maarko

    Kikwete wa Kenya na Kikwete wa Tanzania ni watu wawili tofauti

    Kenya wamefika hapo baada ya Wananchi kujitambua,kumbuka 2007 Mwai Kibaki alichokifanya,Wanacho wakachukua hatua iliyopelekea kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi mnayoisifia leo,sisi wa Tz hatujitambui.
  8. Maarko

    Dunia yetu ndivyo ilivyo?

    Ni kweli kuwa Dunia yetu Ina umbo la yai, hii inapelekea baadhi ya maeneo Duniani kuwa na Usiku mrefu kuliko mchana au Mchana kuwa mrefu kuliko Usiku, na sehemu nyingine kwa kipindi fulani kuwa mchana tu (Hakuna Giza) na sehemu zingine kuwa Usiku tu (Jua halionekani) Je hizi sehemu...
  9. Maarko

    Tujuzane yanayojiri Mahakama Kuu Kesi ya Halima Mdee na wenzake vs CHADEMA

    Paskali anatoa maoni yake kwa mkakati mkubwa,bado anaamini siku moja atateuliwa kua mkuu wa Wilaya...
  10. Maarko

    Inashangaza Kenya wanalalamika mambo ya Loliondo na wanahojiwa Aljazeera TV. Je, kuna mamluki Loliondo toka Kenya?

    Vyombo vya habari vina mbinu nyingi ya kupata habari wanayo itaka,hapa Nchini vyombo vingi vya habari vimebanwa,hivyo Aljazeera wakaamua kutumia mbinu kupata maoni. Lakini pia Wananchi wa Kenya Wanayo haki ya kutoa maoni yao kuhusu Nchi Jirani Kama Vile na sisi tunavyojadili uchaguzi wa kwao...
  11. Maarko

    Huna hata neno moja kwa ndugu zako wa Loliondo?

    Kuna vitu sijavielewa vizuri aunpengine wengi wetu humu hatukifahamu vizuri. Kuna Migogoro miwili,**** Loliondo ilianza Toka kipindi Cha Mzee ruksa (R.I.P STAN KATABALO),na Kuna huu mpya wa kuwahamisha Wamasai kwa nguvu kutoka makazi yao ya miaka na "mikaka".... Loliondo imeibuka Tena siku za...
Back
Top Bottom