Nenda tu mkuu .
Udzungwa ni hifadhi ya Taifa yenye Wafanyakazi/wahudumu WAKARIMU PENGINE KULIKO HIFADHI ZOTE NCHINI.Nilitembelea hapo mwaka 2020.
Nilipotembelea mwaka 2020 gharama nadhani ilikua kwenye Tsh 5900/ kwa Mtanzania sijuii kwa sasa kama Kuna mabadiliko..
Lakini waweza ingia kwenye...
Halafu ya Moyoni mwake angeyasemea wapi?
Waliompa nafasi ndio watajuta,maana lazima mtifuano upo.
Wanamjua misimamo yake kwanini wampe
nafasi wakati siyo Jimbo lake?
Zipo njia za wazi za Kisheria za kupambana na watu wa namna hiyo,hata kama nia yao ni njema ila ujue kuna vikundi vya kihuni vitaibuka,vitafanya hayohayo na tutaendelea kuamini ni vyombo husika kumbe wahuni tu.
Hakuna sababu ya kushededea hili jambo ni baya sana.
Wao Trc walipendekeza nauli iwe sh ngapi?
Ila walau wengefanya 45000 Dar-MAKUTUPORA,maana siyo Dodoma mjini ni mpaka Makutupora.
Makutupora ni mbali kutoka Dodoma,ni karibu kabisa na kupanda mlima Saranda.
Kwa anayejua anipe elimu ya pombe Kali...kwa mfano..
WHISKEY:,inaanzia volume alcohol ngapi,
GIN:inaanzia ngapi mpaka ngapi
BRAND: inaanzia V ngapi mpaka ngapi...
Na nyinginezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.