Kwa anayejua anipe elimu ya pombe Kali...kwa mfano..
WHISKEY:,inaanzia volume alcohol ngapi,
GIN:inaanzia ngapi mpaka ngapi
BRAND: inaanzia V ngapi mpaka ngapi...
Na nyinginezo.
Kenya wamefika hapo baada ya Wananchi kujitambua,kumbuka 2007 Mwai Kibaki alichokifanya,Wanacho wakachukua hatua iliyopelekea kupatikana kwa Tume huru ya Uchaguzi mnayoisifia leo,sisi wa Tz hatujitambui.
Ni kweli kuwa Dunia yetu Ina umbo la yai, hii inapelekea baadhi ya maeneo Duniani kuwa na Usiku mrefu kuliko mchana au Mchana kuwa mrefu kuliko Usiku, na sehemu nyingine kwa kipindi fulani kuwa mchana tu (Hakuna Giza) na sehemu zingine kuwa Usiku tu (Jua halionekani)
Je hizi sehemu...
Vyombo vya habari vina mbinu nyingi ya kupata habari wanayo itaka,hapa Nchini vyombo vingi vya habari vimebanwa,hivyo Aljazeera wakaamua kutumia mbinu kupata maoni.
Lakini pia Wananchi wa Kenya Wanayo haki ya kutoa maoni yao kuhusu Nchi Jirani Kama Vile na sisi tunavyojadili uchaguzi wa kwao...
Kuna vitu sijavielewa vizuri aunpengine wengi wetu humu hatukifahamu vizuri.
Kuna Migogoro miwili,**** Loliondo ilianza Toka kipindi Cha Mzee ruksa (R.I.P STAN KATABALO),na Kuna huu mpya wa kuwahamisha Wamasai kwa nguvu kutoka makazi yao ya miaka na "mikaka"....
Loliondo imeibuka Tena siku za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.