Recent content by Maandalizi chuga

  1. Maandalizi chuga

    Mgogoro wa Lissu na Mbowe, Mzee Edwin Mtei aingilia kati

    Ndio ukweli sio kwamba aisaidii lolote uwongozi sio lele mama uwongozi nikipawa uwongozi ni mikakati uwongozi ni uvumilivu ukileta tamaa kwenye uwongozi unakwenda kuangamiza haki na ndoto zawaTanzania walio wengi Ukweli Chadema wamekoswa msimamo sio leo hapana bali toka kuundwa chama hiki...
  2. Maandalizi chuga

    Hatimaye nimerudi mjengoni

    Oky karibu tena ndg
  3. Maandalizi chuga

    Dunia ina mambo

    Duh huyu peke ake ndio kafaidi raha yadunia ukiwa na msongo wamawazo piga mdundo mwaga vitu amani sana
  4. Maandalizi chuga

    Bamba 2_bamba,wanawake waliotumazidi umri,ni watamuu balaa,hivi huko mnapaka nini?

    Sio vibinti in short mpo open mkifika kwenye hilo swala mnajitambua haina mvutano
  5. Maandalizi chuga

    KUKUNA

    Mh Kweli
  6. Maandalizi chuga

    Huyu Askari ashitakiwe,afukuzwe kazi, na afungwe

    Angefanyaje yeye kwa moto km ule hakuwa nakizima moto wala njia mbadala kwani kuwa askari nikuweza kufanya na kufanikisha vile vyote visivyo wezekana duh tusitumie vibaya nguvu zawalinda amani wetu bana kwatukio km ilo uliitaji nae pia tuweze kumpoteza ama ulikua unamaana gani shida yako kuona...
  7. Maandalizi chuga

    PUTIN ON AFRICA AND AFRICANS

    Ajatukana sema lugha imekua ngum kwaupande wako mkuu
  8. Maandalizi chuga

    Fatma Karume: Rais Hana Mamlaka Kuwatumia Jeshi kufanya lolote atakalo bali Kulinda nchi kwenye vita na kuokoa maisha na mali ya watu

    Unapo ongelea mali za watu una maanisha nini? Na korosho nimali zawatu maana tulipo kuwa tunaelekea niubadilifu mchafu mtu awezi kutumia mda mwingi kuzalisha kitu alafu bado anyoywe kimasirahi naheshima kutoa jeshi kusomba ilo zao ajalitumia vibaya bali kwaulinzi zaidi wa mali zawatu kwamfano...
  9. Maandalizi chuga

    Yawezekana kuwepo urafiki usio wa kimahaba kati ya mwanaume na mwanamke?

    Siku zote utakapo jijengea dhana flani nilazima itimie namaisha yako ukiyafanya yanamna frani yatakua ivyo ivyo hayataweza penyeza kwenda kwenye muelekeo mwingine utaanzaje kudumisha agano la urafiki bora kwanamna yoyote haliyakuwa umejiweka active kwaajili yafikila nyingine haiwezekani
  10. Maandalizi chuga

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Mh mkubwa akosei kaka akikosea lejea kauli kwamba
Back
Top Bottom