Mweshimiwa Paul Makonda na
Mheshimiwa JPM nawakubali Mpaka Nahisi kuumwa Leo JPM kaongea mambo Mhimu sanaaaaaaaaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kazungumza nawandishi wahabali kuhusu kakaake kwanini anamuo ngelea mabaya mkuu wa mkowa Paul makonda kama alikuwa anajuwa tokea mwanzo kuwa Paul makonda ana vyet feki kwanini hakusema tokea mwanzo baada ya kutajwa kwenye sakata la madawa ndo akasema kwahiyo mdogo wake anasema kuwa n.gwajima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.