Mh..! Kwa eneo ulilopo na kwa muda huo, labda uanze kujifunza online jobs kama vile blogger, youtuber n.k inabidi uwe mvumilivu kwasababu huwez kuona matunda ndani ya wiki moja.
Habari za majukumu wanajukwaa?
Naimani Mwaka huu umeanza vizuri na matarajio yangu kwenye mwaka huu ni lazima nitoke nje ya mipaka ya Tanzania kwa namna yoyote ile iwe isiwe.
Kabla ya yote, Mimi nimehitimu shahada yangu ya Kwanza tangu. Waka 2019 ktk sekta ya Elimu (Masomo ya kufundishia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.