Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Serikali imemwita Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hapa nchini kupata kwa kina hoja za Shirika hilo zinazosambaa kupitia vyombo vya habari. Mwakilishi huyo amesisitiza kuwa WHO haijasema wala haina ushahidi wowote kuwa TZ kuna Ebola na itashirikiana na Serikali.
Aidha, katika mazungumzo hayo WHO imeafiki kuwa kama kuna mahitaji ya kupata taarifa zaidi kutoka Serikali ya Tanzania lazima utaratibu ulioanishwa katika miongozo ya taasisi hiyo na ambayo imeridhiwa na Serikali ifuatwe kikamilifu.
============================
Tanzania has summoned the local World Health Organization representative over the agency's statement on the weekend that the government had refused to share information on suspected Ebola cases, the government said on Tuesday.
"The government has summoned the representative of the World Health Organization in the country to seek in-depth details from the agency on reports circulating in the media," government spokesman Hassan Abbasi said on Twitter.
Aidha, katika mazungumzo hayo WHO imeafiki kuwa kama kuna mahitaji ya kupata taarifa zaidi kutoka Serikali ya Tanzania lazima utaratibu ulioanishwa katika miongozo ya taasisi hiyo na ambayo imeridhiwa na Serikali ifuatwe kikamilifu.
============================
Tanzania has summoned the local World Health Organization representative over the agency's statement on the weekend that the government had refused to share information on suspected Ebola cases, the government said on Tuesday.
"The government has summoned the representative of the World Health Organization in the country to seek in-depth details from the agency on reports circulating in the media," government spokesman Hassan Abbasi said on Twitter.