Ndugu zangu wana JF, kitendo cha tume ya taifa ya uchaguzi NEC kupiga danadana zoezi la kujiandikisha kwa mkoa wa Daresalaam kimewanyima haki ya kupiga kura wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu vilivyopo mkoani hapa hususani wale ambao wanatoka mikoani kwani mikoa yote iliandikishwa wakati wao...
Ndugu zangu wana JF sijawahi kua mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu inaniambia napaswa kujiunga na CHADEMA na kinachonivutia ni namna ambavyo wanafanya maamuzi magumu bila kujali anaefayiwa maamuzi hayo ni nani na anacheogani mladitu anapaswa kuwajibishwa hii...
kaka sio kila mali inayomilikiwa na mtu mwenyejina la Lema ni ya Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini. Kwataarifa yako Lema hausiki hata chembe na Villapark night club ya kirumba Mwanza. Yule nilema mwingine kabisa ambae makazi yake siku zote ni Mwanza.
Mleta mada asitake kutuaminisha ujinga anaouamini yeye minaisi kama vile anamatatizo ya kiakili sababu sijui anachotaka kusikia kwenye redio imaani ni nini wakiubili mabaya hataki wakiubili mazuri hataki pia basi aache kusikiliza kama hapendezwi nayo. Mbona kwaneena fm imechochea mauaji geita...
Butimba hakujawai kua shule na A-level ipo O-level pekeake na wanafunzi wa kwanzi ni sisi mwaka 1999 zaidi ya apo kunachuo cha ualimu kaka mbona tunadanganyana mchana kweupe.
Saa8 nimnafiki mkubwa na muuaji wa chama. Hizi tuuma kwanini asizipeleke kwenye vikao vya chama analeta JF kwa kumfaidisha nani? ULAANIWE SAANANE NA UTAISHIA PABAYA KWAIZO FITINA ZAKO. Shame on you.
Zito Zuberi Kabwe ni moja kati ya viongozi ambao ni nguzo ya CHADEMA Nyie magamba mnaojifanya mnauchungu na chama wakati mmetumwa kuvuluga chama kwa kumpinga Zito mlaaniwe na mfie mbali.
HAO MAGAMBA hawamuwezi WENJE hata kidogo waulize wakazi wa ILEMELA na NYAMAGANA moto uliowashwa leo pale furahisha na waheshimiwa WENJE, KIWIA na VICENT NYERERE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.