Mwl nyerere alisema ni wajinga tu ndio wanao tamani kuona inchi hii ni ya waislam au ya wakristo! so big show uczani kinacho tokea siria wananchi wanapenda na has a sie tuliopo nje ndio tunafurahia kinachotokea kwa wenzetu ila usiombe yakatokea kwenu mnapigwa napolisi tu APA bongo mnapiga kelele...
Awajamaa nawafananisha na MTU mzima aliye fiwa wazazi alafu bado anajiliza kwakujiita yatima hali ambayo Haifa msaidia kitu,Wenzetu mmekuwa watu was kulalamika kuwa serikali niya mfumo kristo sababu mnazozitoa hazina mashiko wakristo wanajishughulisha jamani, mahakama yenyewe wengi wenu...
Tatizo ukiwa na mawazo ya kimaskini unahisi kila kitu hakiwezekani,diamond yupo juu na ndio wakati wake asa nyie team kiba mnampoza mwenzenu kiba kumpambanisha na MTU kama platinum kwq sasa mtamfanya aishi maisha ya stress sana kwa vits kubeba semi trela wakati vice versa is true.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.