MIMI NI MWLIMU WAPRIMARY NIKO WILAYA YA IGUNGA (TABORA)NAHITAJI MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE ILA AWE ANATOKEA MKOA WA TANGA WILAYA IWE MUHEZA,KOROGWE AU HANDENI NAMBA YANGU NI 0686533270 au 0759753022 AKIPATIKANA ANIBIP TU NITAMPIGIA TUWE MAKIN JAMAN NA HAYA MAMBO WA2 TUNASHIDA SI MATANI
Kwahiyo nikimpa fundi anaweza akaiponesha? Kwamana naipenda halafu yenyewe kwa hiz local chanels za tz haisumbui ila ni zile za holizontal tu itv na ndugu zake pamoja na msumbiji huzipat kabisa kw vile kwangu ziko (v)
Wakuu mambo vipi?naomba msaada kuhusu hii ricva yangu ya gulfstar inakamata chanels zilzopo holizontal pekee (h)upande wa (v)haitak ukibadil mkaa inakamata za (v)holizontal zinagoma anaefaham huu ugonjwa anisaidie tafadhari
Sasa solution itakuwaje hapo? Ukizingatia ndani ya hilo jengo kuna raia kibao wametekwa na hao jamaa.tuombe mungu tu awasaidie ndugu zetu wawaokoe wapendwa wao wakiwa salama salmin kwani inshu ni ngumu mno.
Wadau katka pitapita zangu kitaa nikakuta dish limefungwa ila nikashangaa kwamana pale inapokaa c band ya local channels za tz kumewekwa ku band sasa wadau kwa anayefaham atujuze jamaa anapata chanels gani pale kwa bahat mbaya aliefunga pale hakwepo kwahyo nikakosa wa kumuuliza.
Wadau niajeniaje? Hivi hakuna ujanjaujanja wowote ambao utakuwezesha kupata chanels za kenya for free kwakutumia mpg2 riciva au hiz riciva ndo haziwez kabisa,au hawa jamaa hawana fta chanels.
Nilikuwa cfaham wadau je vip kuhusu citzentv nitaendelea kuipata au la kwa mana naipata ila cjabebanisha ku na c band nimeweka ku pekee kwhyo nina mpango wa kuzbebansha nahofia kuipoteza ctzentv kwan naipenda mno iko poa kinoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.