Recent content by M-Bantu

  1. M-Bantu

    Jamani nisaidie mbwa wadogo wanakufa sana hapa kwangu

    Pole sana, parvo virus wako kwenye mazingira yako, kila mbwa mdogo utakaye mleta lazima aambukizwe. Virusi hao ni hatari sana hasa kwa mbwa wadogo, na wana uwezo wa kuishi ardhini kwa zaidi ya mwaka Mmoja. Mara nyingi mbwa akishaugua anakosa hamu ya kula, huarisha na kutapika, na hachukui zaidi...
  2. M-Bantu

    Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

    Katika pita pita zangu kwenye maandiko matakatifu nilikutana na maneno Haya "Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema Bwana". Isaya 66:17 Kama wewe ni Mcha Mungu, Nyama ya nguruwe Sio...
  3. M-Bantu

    Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

    Hizo ni ishara za Mwisho wa nyakati, una Heri wewe uliye yaona na kuyatafakari haya. Soma Biblia Mathayo 24.
  4. M-Bantu

    Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

    Kwa kuwa haujui unalolinena, Sio kosa lako, ila siku ukija kujua, utalia na kusaga meno.
  5. M-Bantu

    Vodacom yasema miamala ya M-Pesa yashuka kwa 24.8%

    Msiwe na shaka, hivi mmesahau ya Kuwa waziri wa fedha na Mama yetu mpendwa wote ni wabobezi kwenye masuala ya kiuchumi!
  6. M-Bantu

    Natafuta soko la Asali Mbichi Dar es salaam, ipo nyingi

    Vp mkuu bado unauza asali?
  7. M-Bantu

    Tahadhari: Utapeli huu saluni za kiume bongo haukubaliki

    Hapo Umenena Naamini msg sent... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M-Bantu

    Cardinal namba 3 wa Vatican ashitakiwa kwa ulawiti

    Biblia imeandika mtawajua kwa matendo yao.Kashfa za namna hii zimezidi kwa viongozi wa kanisa hili. Mwenye macho haambiwi Tazama.
  9. M-Bantu

    Je debe moja la dagaa lina kilo ngapi?

    Samahani, Gozba ndio wapi huko?
  10. M-Bantu

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Kitabu cha maajabu,chabadili mtizamo wako wa maisha milele. Jaribu kutafuta na kusoma STEP TO CHRIST au Ka-goole kwa tightle ,waweza kukisom mtandaoni.
  11. M-Bantu

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Nimevutiwa na huduma zenu mnazotoa kwani mimi pia ni mdau wa muda mrefu katika masuala ya ufugaji. Niko Tarime Mkoa wa Mara.Mnatufikiaje watu wa maeneo haya. Namba yangu ya simu ni 0717400751. E-mail: gillystrongest@gmail.com
  12. M-Bantu

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Napanga kwenda visiwa vya Comoro, usafiri wake ukoje mkuu nauli kwa aina ya usafiri?
  13. M-Bantu

    Ushauri: Napenda ngono na siwezi kudumu na mwanamke

    Ngono za mara kwa mara zinapunguza uwezo wa mtu kufikiri vyema na kufanya maamuzi.
  14. M-Bantu

    Nimemfuma shemeji akijisaidia nje, ameumbika, kanichanganya vibaya

    Huo ni mtego wa shetani anajiandaa kuvuruga ndoa yako,Utajuta chunga sana.
Back
Top Bottom