"haki ya kuona Bunge live". Na wapo watu wanaamini kweli haki kama hiyo ipo! Wanalilia "haki yetu kuona live". Ama neno "haki" lina maana au halina"
MM, Neno haki ni pana sana. kuna watu wanadai haki ya kusoma bure? Wamepewa? Kulala mahali pazuri. Wanalala? Kula vizuri. Wanakula? unaweza...
Hiv kwa miaka 20 ma zaid upinzania ulikuwa unapigania kumuondoa lowassa ccm..? na kwa sababu wamefanikiwa hilo hamna haja ya kuchukua dola... Kwa sababu umaskini wetu ummesababishwa na Lowassa??
Nadhan hata kama ukawa wamefanya makosa... Hatuwezi kuwakomoa kwa kuendeleza kufanya kosa lilelile
MM, what about vice-versa..?? Nin hatma ya Magufuli, Mwigulu, Makamba, Wasira, na wengine wengi baada ya uchaguzi with regards to the scenarios you have put??
Uchaguzi una matokeo ya kushinda au kushindwa.. ni vizuri vyama vyote vikajiandaa kwa hilo. Wachambuzi wa masuala ya siasa hawapaswi...
Yes inaweza kuwa haitokani na maoni ya wananchi kwa asilimia 100 but ule mchakato ulikuwa ni wa muhimu sana coz mind set, ya wananchi ni kuamini wametengeneza katika yao wenyewe na sio watu wachache.
Hatuwezi watu million 42 wote tukaandika katiba lakin kutoa kile tunachofikiri ni sawa ni muhimu.
Ndugu zangu, Kwanza nianze kwa kusema, "Tuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wa ajira za vyuo vikuu vyetu hapa nchini. Mimi kama mdau wa elimu naangalia haya matatizo kwa sehemu zifuatazo
Mosi, Kwa upande wa UDSM & SUA (to be specific...) Hivi vyuo havikutoa ajira kwa wakufunzi kwa kipindi...
Kama mwandishi wa makala anakubaliana na dhana kwamba maneno na shutuma zinazotolewa na Shibu-da zinaanza kuleta uharibifu kwa chama kwenye public. Naamin ilikuwa busara kwa chadema kujibu kabla ya sumu haijaendelea kusambaa.
Sioni tatizo juu ya tamko la Mwenyekiti wa Bavicha, it was a right...
Hiyo ilikuwa ni wakati kumtafuta mgombea wa raisi ndan ya chama, so campaing na challenges kama hizo huwa zipo. Hata hapa kwetu vyama vinapotafuta mgombea kuna kuwa na makundi ndan ya vyama. Na hizo argument alizotoa joe biden ni challenges za maana sio kama hapa kwetu, watu wanaanza kuhoji...
Tutofautiane kwa hoja si mapanga.. Hii ndio demokrasia tunayotaka.. Tukianza kutosikilizana kisa itikadi zetu zimetofautiana tutakuwa tunajichimbia kaburi letu wenyewe.
Tucheke na tunywe juice pamoja kudumisha Utanzania wetu.. But Hoja ya msingi ijadiliwe kwa maslahi ya taifa letu
Think Big
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.