Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Huyo Slaa anatuletea habari za Early Warning System wakati hata mafuriko hayajaisha? na kama ni kujuwa kuwa mabondeni huwa panafurika ni nani asiyejuwa?
Mkuu uwa unaniduwaza sana wakati mwingine. Kwa bandiko kama ilo hakika unakua sawa na ngumbaru tu!
Slaa hapa anataka serikali ijifunze;sasa kama suala la mafuriko Jangwani linajulikana,serikali imefanya nini katika kuepusha athari? Slaa anahimiza katika suala zima la disaster management;wewe unavyosema mafuriko bado hayajaisha, unataka kutuambia kwamba tusubiri hadi mafuriko yaishe ndo tutafute cha kujifunza?!