Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,114
- 26,071
Na kwa nini JF ifungiwe? Kwani TBC imefungiwa? Nijuavyo mimi Serikali imesema Bunge litarekodiwa na kuonyeshwa jioni na kurudiwa wkend sasa sijui tatitzo liko wapi hapo?
Na hii siyo TZ peke yake nchi nyingi Duniani hata zile tunazoziiga kwa mambo ya kiutawala ambazo kila siku hulaumu Serikali yetu kwa nini haifanyi kama wao hufanya hivi kwamba Bunge huonyeshwa jioni!
Marekani kuna chanell maalum ya bunge ambayo hurusha live mijadala so usiongelee jambo usilojua.Pili tusiwe double standards,kama tunasema kurusha live ni gharama basi serikali iiagize TBC kutokurusha matangazo yoyote live kwasababu tunabana matumizi,hii ijumuishe sherehe za kitaifa,dhima na hata hotuba za Rais na matukio mbalimbali yanayofanywa na serikali yarekodiwe na kuja kurushwa usiku,hapo tutaona dhamira ya kweli ya kubana matumizi.
Posho za wabunge kwa mwaka ni zaidi ya bilion 15,kwanin tusianze hapo tuzifute.Mwenge,madc na marc ni mzigo kwa taifa,kwanin tusiwafutilie mbali kubana matumizi?
uchaguzi zanzibar ni zaidi ya bilion 9,kwann tusirudie uchaguzi ili kubana matumizi?
NB;Hata kama matangazo hayatarushwa live,haina maana tutaokoa hiyo bilion 4 yote,no just a small fraction of it.