Recent content by Lyong'o

  1. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Jamani sera ya nyumba za serikali mbona ipo wazi " Kujenga na Kuuza Nyumba kwa watumishi wa serikali" Target nyumba 10,000 na kwa sasa wana zaidi ya nyumba 2000 na zaidi wamejenga.
  2. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Mkuu ukweli utabaki ukweli, hizi nyumba ni tamu balaa niliwahi kwenda kuziona.
  3. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Mtekelezaji wa Ilani kwa vitendo zaidi ni huyu hakuna mwingine ndani ya CCM.
  4. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Pamoja na kwamba sijaifurahia comment yako lakini imenibidi nicheke tu!
  5. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Mkuu waliuziwa wafanyakazi wote wakiwemo wakurugenzi n.k
  6. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Mpango mzima ni kujenga nyumba 10,000 na kuwauzia wafanyakazi wa Serikali katika madaraja mbalimbali hata wa kipato Cha chini kabisa.
  7. L

    Dkt. Magufuli akagua ujenzi nyumba za Serikali

    Ameshtukiza kukagua maendeleo ya Ujenzi wa nyumba Za serikali maeneo ya Sida Estate na Mbezi Beach. SIDA ESTATE MBEZI BEACH (EX-NMC) Mradi wa nyumba 1800 za Serikali Mabwepande
  8. L

    TAKUKURU kupeleka tuhuma za rushwa dhidi ya Edward Lowassa kamati ya maadili CCM

    Tiririka vizuri usiishie tu kuwataja akina Membe, January, Wasira, Magufuli wametoa kivipi na wapi! la sivyo ni Majungu.
  9. L

    Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Mpuuzi tu huna hata la maana!
  10. L

    Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Hoja yako ni nyepesi sana kujibiwa kibaya imesambaa hovyo hovyo!
  11. L

    Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Unaonekana una below IQ, nchi zilizoendelea uzalendo namba moja, najua upo upande wa pili lakini appreciate pale mazuri yanafanyika. TENA: kesho STRABAG wanaendelea na kazi kwa kuwa serikali imewalipa deni lao. Chukia tena nione.
  12. L

    Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Mungese wewe!
  13. L

    Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

    Kwa kuwa Watanzania ni mabingwa wa kushangilia pale tu serikali inapotokea mambo kutokwenda vizuri, leo Serikali wamemulipa STRABAG deni alilokuwa anadai na kesho kazi zinaendelea kama kawaida. Uzalendo ni kitu cha msingi sana, ionee huruma serikali yako pale inapojitahidi kukuletea maendeleo.
  14. L

    Pinda asifia utendaji wa Dkt. Magufuli & Prof. Muhongo

    Sikubaliani kabisa na Pinda, nchi itaugua kufanduro tena, ataanza yale mambo yake " Serikali imeliona imelichukua tutalifanyia kazi" huwa sipendi maneno haya!
  15. L

    Dkt. Magufuli akamilisha kupata wadhamini Zanzibar

    Hiyo team Lowassa ikiongozwa na Ocampo Four ilishashindwa na waje kwa hoja zenye mashiko na Ukweli bila hivyo wataaibika na kashfa zao Za kuokota mabarabarani!
Back
Top Bottom