Wakuu habari za muda huu, natumai mko salama,
Nina ombi hili;
... ninahitaji pump ya maji ya solar kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.
Shamba lipo ekari tatu, na kisima kipo. Kwa sasa nahitaji tu hiyo pump ili nifanye kilimo cha umwagiliaji kwa mazao ya mboga mboga, kama nyanya, vitunguu...