Habari za jioni wakuu,
Nimenunua simu kwa MTU kwa bahati mbaya nmejaribu kuaccess internet imegoma kabisa vile vimishale vya internet vinaonekana lakin akuna kitu simu ni Nokia G10.
Naombeni maaada wenu..
Ilinitokea miaka ya nyuma.
Nlipata ajali nikazima yaan nikawekwa ICU kwa zaidi ya wiki.
Wife alikabidhiwa simu. Na alikuwa anaijua pattern yangu.
Kuja kuzinduka ndo napewa pole za ajali. Ni Kama wiki na Zaid ilipita.
Nkaambiwa pikipiki ipo police na sim ina mke wako Mama J.
Baada ya hpo sikuwa...
Kama unaanza watahitaji
salary slip
Bank statement
Shahidi na
Kadi yenyewe.
Wanaanza na 50000 mpaka hata 3m.
Inategemea na take home yako.
Muda wa kumaliza deni ni mwez mpaka mwaka.
Kopa kwa malengo
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mimi huwa nakopa wale wa kuweka kadi ya benki. Wale Ni afadhari Kama unajitambua.
Nimefanikisha Mambo mengi kupitia hawa jamaa wabarikiwe Sana.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.